Nimekuwa nikifuatilia utangazaji wa ivona kamuntu toka akiwa Star TV, alikuwa akinikosha, ila sasa kaanza kuharibu sijui kwa kuzidiwa na sifa au ulimbukeni.
Ni kwamba dada huyu sasa anaiga sauti ya mtangazaji wa BBC swahili kutoka kenya bi Ansoi. Hata uulizaji wa maswali amekuwa akiuliza kama Ansoi. Ivona jiamini bana, kuwa wewe, unatuboa sana na hilo lisauti lako jipya.
Huh kwahiyo hata huyo mtangazaji wa BBC Kenya anakuboha pia???Ivona jiamini bana, kuwa wewe, unatuboa sana na hilo lisauti lako jipya.
Nimekuwa nikifuatilia utangazaji wa Ivona Kamuntu toka akiwa Star TV, alikuwa akinikosha, ila sasa kaanza kuharibu sijui kwa kuzidiwa na sifa au ulimbukeni.
Ni kwamba dada huyu sasa anaiga sauti ya mtangazaji wa BBC swahili kutoka Kenya bi Ansoi. Hata uulizaji wa maswali amekuwa akiuliza kama Ansoi. Ivona jiamini bana, kuwa wewe, unatuboa sana na hilo lisauti lako jipya.
Nimekuwa nikifuatilia utangazaji wa Ivona Kamuntu toka akiwa Star TV, alikuwa akinikosha, ila sasa kaanza kuharibu sijui kwa kuzidiwa na sifa au ulimbukeni.
Ni kwamba dada huyu sasa anaiga sauti ya mtangazaji wa BBC swahili kutoka Kenya bi Ansoi. Hata uulizaji wa maswali amekuwa akiuliza kama Ansoi. Ivona jiamini bana, kuwa wewe, unatuboa sana na hilo lisauti lako jipya.
Ni mke wa mtangazaji mwenzake Ramadhani Nyamihula.