Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Kodi ni muhimu sana ili kufadhili shughuli za serikali, huduma kwa umma kama vile barabara na mashule, Usalama wa Jamii, Afya na Mengineyo.
Sasa kama hata hayo kuanzia Elimu (Mikopo na Shule Binafsi); Afya tuna BIMA ya Afya na kulipia Private; Kuhakikisha wafanyakazi wanalipwa ujira stahiki hilo pia limekwenda kwenye free market...; Usafiri tuna watu binafsi n.k.; Ujenzi wa Barabara tunafanya PPPs which means hata gharama ya kulipia hio Miradi tutalipa kwa levies na tolls.
Mbaya zaidi huduma nyingi za watu binafsi gharama imekuwa kubwa sababu ya Tozo za Serikali (mfano bila Tozo, bundle, kutuma miamala na hata mafuta yangekuwa bei rahisi zaidi).
Unaweza kusema watu wameongezeka wanaohitaji huduma sio kama zamani nami takujibu kwamba hata watoaji pia wameongezeka na pia huduma siku hizi watu hawapati kama mwanzo bali wanailipia.
Vilevile kuna Makusanyo ambayo awamu za zamani walikuwa hawama mfano VAT, hii alikuja nayo Mkapa hivyo kabla ya hapo Serikali ilikuwa haina hili fungu la 18 Percent.
Soma Pia: Kodi za Mapato: Kabla hatujawaza kuzidi kukamuana, tuangalie kuziba Pakacha
Sasa kama hata hayo kuanzia Elimu (Mikopo na Shule Binafsi); Afya tuna BIMA ya Afya na kulipia Private; Kuhakikisha wafanyakazi wanalipwa ujira stahiki hilo pia limekwenda kwenye free market...; Usafiri tuna watu binafsi n.k.; Ujenzi wa Barabara tunafanya PPPs which means hata gharama ya kulipia hio Miradi tutalipa kwa levies na tolls.
Mbaya zaidi huduma nyingi za watu binafsi gharama imekuwa kubwa sababu ya Tozo za Serikali (mfano bila Tozo, bundle, kutuma miamala na hata mafuta yangekuwa bei rahisi zaidi).
Unaweza kusema watu wameongezeka wanaohitaji huduma sio kama zamani nami takujibu kwamba hata watoaji pia wameongezeka na pia huduma siku hizi watu hawapati kama mwanzo bali wanailipia.
Vilevile kuna Makusanyo ambayo awamu za zamani walikuwa hawama mfano VAT, hii alikuja nayo Mkapa hivyo kabla ya hapo Serikali ilikuwa haina hili fungu la 18 Percent.
Soma Pia: Kodi za Mapato: Kabla hatujawaza kuzidi kukamuana, tuangalie kuziba Pakacha