Iwe isiwe Simba mabingwa msimu huu

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
"Simba ana point 64 amebakisha mechi 3 atashinda zote na kufikisha point 73 na magoli mengiiiiiii

Yanga ana point 71 amebakisha mechi 3 ata droo 2 na atafungwa1 jumla anafikisha point 73 sawa na Simba ila atazidiwa magoli na Simba

Simba ni bingwa msimu huu mtake msitake nme kaaa paleeee" Try again (2023)


NB: kweli sisi wanasimba ni mbumbumbu tunadanganywa kama watoto[emoji23][emoji23]
 
Aisee bado simba wanawaza ubingwa?? Au ni mashabiki mnajifariji? Ushauri simba ifocus kwenye nusu fainali yake na azam, maana isipokuwa makini haitanyanyua makwapa kwenye kombe lolote msimu huu
Ulikuwa ni utabiri [emoji23][emoji23]
 
Yaani ikifikia mahala ubingwa wako unahusisha SALA, MAOMBI, MAPAMBIO, DUA etc ya mwenzio afungwe ndo upate ubingwa, UJUWE HUNA LOLOTE...!!
 
Kispika anaminyoo inamsumbua sana kaka mudi wewe unamikemikali mingi waombe wakemia wako wamkologee kidogo kispika apate tibika minyoo yake hipo cku atakunya kwa press asipotibiwa mapema chonde kaka mudi nafikiri unanisoma hapa
 
Kispika anaminyoo inamsumbua sana kaka mudi wewe unamikemikali mingi waombe wakemia wako wamkologee kidogo kispika apate tibika minyoo yake hipo cku atakunya kwa press asipotibiwa mapema chonde kaka mudi nafikiri unanisoma hapa
Sasa si atakufa[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…