J. Edgar Hoover Mkurugenzi wa FBI na siri kubwa

J. Edgar Hoover Mkurugenzi wa FBI na siri kubwa

Mzee wetu leo nikupongeze kwa kutoandika simulizi za Waislamu na Uislamu
Uzalendo...
Kwani unakereka kusoma historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika na kuona mchango wa masheikh akina Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Yusuf Badi, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Rashid Sembe kwa kuwataja wachache?

Majina haya wewe yanakuudhi kuwamo kwenye historia ya TANU?

Unataka niamini majina haya yalifutwa kwenye historia ya uhuru kwa kuwa hamkuyapenda?

Ungekasirika kama Kadinali Rugambwa au Pengo wangekuwa na historia ya kupigania uhuru bega kwa bega na Julius Nyerere?
 
Uzalendo...
Kwani unakereka kusoma historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika na kuona mchango wa masheikh akina Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Yusuf Badi, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Rashid Sembe kwa kuwataja wachache?

Majina haya wewe yanakuudhi kuwamo kwenye historia ya TANU?

Unataka niamini majina haya yalifutwa kwenye historia ya uhuru kwa kuwa hamkuyapenda?

Ungekasirika kama Kadinali Rugambwa au Pengo wangekuwa na historia ya kupigania uhuru bega kwa bega na Julius Nyerere?
Mzee wangu punguza jazba kwa kariba yako na vyeo vyako hapa jukwaani nikuombe ikikupendeza Sio lazima uwe unajibu coments zote
 
Kuna movie kacheza Leonardo DiCaprio, kuhusu huyu jamaa.
 
Mzee wangu punguza jazba kwa kariba yako na vyeo vyako hapa jukwaani nikuombe ikikupendeza Sio lazima uwe unajibu coments zote
Dudu...
Sijaghadhibika.

Kaniandikia na uungwana ni kujibu.

Ningenyamaza maana yake nimemdharau au nimempuuza.

Hilo jibu la kawaida sana.
 
Huyo bwege ndie aliewatesa sana blacks Marekani. Huyo bwege ndiye alifanya mipango ya kumuua Dr. Martin Luther King
Huyo bwege ndie alisimamia apartheid South Africa.

Yaani huyo bwege ana lawama kibao...hadi vita ya Vietnam. Huyo ndio mzandiki mwenyewe

Halafu pamoja na yote watu walikuwa wanampakata. Inasaidia nini sasa? pengine ndiye aliyewezesha hata kumtoa uhai yule Rais wao aliyekataa nuclear world.

Shekhe Mohammed, baadhi ya mifano unayoleta inaacha mengi ya kuangalia kiasi kwamba inapoteza hata malengo. Juzi kati ulisema Don Corleone na Bonnassera. Kazi ikaishaje huko sasa?
 
Robert Kennedy anasema siku ambayo kaka yake JF Kennedy kapigwa risasi Hoover ndiye alimpigia simu kumpa taarifa. Hakuna cha salamu akaanza kumwambia "The President is been shot" akakata simu. Baada ya muda akapiga tena simu akasema "The President is dead" akakata simu bila hata kutoa pole. Robert anasema Hoover alimpa hiyo taarifa huku akionekana kama mtu mwenye furaha sana kwa yaliyomkuta J.F. Kennedy.

Yeye ndiyo muasisi wa mchezo wa kijasusi unaoitwa "Bad-Jacket" ambao ulitumika dhidi ya wanaharakati wa The Black Panthers na Civil Rights Movements. Inatengenezwa barua ambayo inaonekana ina mwandiko wa mwanaharakati moja, huku ikionesha kwamba anashirikiana na F.B.I kisha inaenda kutupwa kwenye gari la mwanaharakati mwingine ionekane aliisahau.

Barua ikashafunguliwa basi mtafaruku na kutoaminiana kunaanza. Huu mchezo alichezewa marehemu Stokley Carmichael a.k.a Kwame Toure. Baada ya kufanya hivyo The Black Panthers wakamfukuza kwasababu alionekana ni kibaraka wa wazungu kumbe ni mpango wa Hoover.

Pamoja na yote, alikuwa anashikishwa ukuta. Hilo ni la muhimu mno kwetu sisi waafrika wa Songagwegwe
 
Uzalendo...
Kwani unakereka kusoma historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika na kuona mchango wa masheikh akina Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Yusuf Badi, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Rashid Sembe kwa kuwataja wachache?

Majina haya wewe yanakuudhi kuwamo kwenye historia ya TANU?

Unataka niamini majina haya yalifutwa kwenye historia ya uhuru kwa kuwa hamkuyapenda?

Ungekasirika kama Kadinali Rugambwa au Pengo wangekuwa na historia ya kupigania uhuru bega kwa bega na Julius Nyerere?

Hakuna mkristu anayepambania mambo yasiyo na tija kama hayo ya kuandikwa majina. yanasaidia nini sasa? Ukiangalia sana tofauti yetu iko hapo. Ili usife na presha kuna mambo inatakiwa yasikutatize. Mojawapo ni hili. As long Mwenyezi Mungu alipenda JK Nyerere awe ndio Rais wa Kwanza, there is no way you gonna change. Kawawa hakuweza na kwa kweli angeamua, angeliweza kabisa...sasa wewe utaweza kweli???
 
Hakuna mkristu anayepambania mambo yasiyo na tija kama hayo ya kuandikwa majina. yanasaidia nini sasa? Ukiangalia sana tofauti yetu iko hapo. Ili usife na presha kuna mambo inatakiwa yasikutatize. Mojawapo ni hili. As long Mwenyezi Mungu alipenda JK Nyerere awe ndio Rais wa Kwanza, there is no way you gonna change. Kawawa hakuweza na kwa kweli angeamua, angeliweza kabisa...sasa wewe utaweza kweli???
Rogo...
Hayo usemayo si maudhui ilioletwa hapa.

Rejea nyuma uone tulipoanzia.
 
Halafu pamoja na yote watu walikuwa wanampakata. Inasaidia nini sasa? pengine ndiye aliyewezesha hata kumtoa uhai yule Rais wao aliyekataa nuclear world.
Shekhe Mohammed, baadhi ya mifano unayoleta inaacha mengi ya kuangalia kiasi kwamba inapoteza hata malengo. Juzi kati ulisema Don Corleone na Bonnassera. Kazi ikaishaje huko sasa?
Rogo...
Kila mtu amejaaliwa uwezo wake wa utambuzi.

Ikiwa hunielewi wala isikuhangaishe.
 
Rogo...
Kila mtu amejaaliwa uwezo wake wa utambuzi.

Ikiwa hunielewi wala isikuhangaishe.
Nakuelewa sana. Hoover aliweza kuwatisha baadhi ya watu, lakini sio kila mtu. Kwasababu file hatari kwako, sio lazima liwe hatari kwangu. The things about this world are very relative. When something becomes so rigid, in the end, nature has a tendency of punishing it severely.
Trust me...hakuna kitu kama this file that I have will cause the world to stop. Ndio maana hata Hoover, kuna wakati alikuwa analegea kwa mwanaume mwenzake, halafu anapokea kipigo. He was not that strong aisee
 
Huyo bwege ndie aliewatesa sana blacks Marekani. Huyo bwege ndiye alifanya mipango ya kumuua Dr. Martin Luther King
Huyo bwege ndie alisimamia apartheid South Africa.

Yaani huyo bwege ana lawama kibao...hadi vita ya Vietnam. Huyo ndio mzandiki mwenyewe
Ndio wala haitakiwi kusifiwa
 
Alikuwa gay halafu..alikuwa na bwana wake hapo hapo FBI

Waliokuwa wanajua walimbatizw jina moja la kike.

Ingawa alikuwa anaogopwa na Marais hadi Mafia.
Yeah, alikuwa analiwa kiboga. Na ukishamla ukizingua au akikuhisi kuwa unataka kumfichua anakupoteza. Pia watu wengine wote aliohisi kuwa wana hint yoyote kuhusu siri yake hiyo aliwapoteza. Na huu kwangu ni uthibitisho mwingine kuwa kitendo cha ulawiti ni ushetani mkubwa sana.
 
huyu mtu kumuogopa kiasi hicho ina maana hata waliomuweka kwenye hicho kiti walikua hawana nguvu kwake?
 
huyu mtu kumuogopa kiasi hicho ina maana hata waliomuweka kwenye hicho kiti walikua hawana nguvu kwake?

Unamuweka mtu halafu anajiongeza nguvu
Kwa Ku balckmail wengine..
Kila anaekuja hapo anakuwa ameshapata taarifa zake za kum blackmail
 
huyu mtu kumuogopa kiasi hicho ina maana hata waliomuweka kwenye hicho kiti walikua hawana nguvu kwake?
Katiba zao hazijarundika mamlaka kwa mtu mmoja

Unakuta huyo kuwa kwake pale alipigiwa kura na bunge na huwezi kumtoa kwa sababu zako mpaka bunge liridhie

Kwahiyo ukitaka tu kumtoa uwe na sababu na uwezo wa kushawishi bunge

Nimetoa mfano tu
 
Back
Top Bottom