Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #21
Uzalendo...Mzee wetu leo nikupongeze kwa kutoandika simulizi za Waislamu na Uislamu
Mzee wangu punguza jazba kwa kariba yako na vyeo vyako hapa jukwaani nikuombe ikikupendeza Sio lazima uwe unajibu coments zoteUzalendo...
Kwani unakereka kusoma historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika na kuona mchango wa masheikh akina Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Yusuf Badi, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Rashid Sembe kwa kuwataja wachache?
Majina haya wewe yanakuudhi kuwamo kwenye historia ya TANU?
Unataka niamini majina haya yalifutwa kwenye historia ya uhuru kwa kuwa hamkuyapenda?
Ungekasirika kama Kadinali Rugambwa au Pengo wangekuwa na historia ya kupigania uhuru bega kwa bega na Julius Nyerere?
Dudu...Mzee wangu punguza jazba kwa kariba yako na vyeo vyako hapa jukwaani nikuombe ikikupendeza Sio lazima uwe unajibu coments zote
Huyo bwege ndie aliewatesa sana blacks Marekani. Huyo bwege ndiye alifanya mipango ya kumuua Dr. Martin Luther King
Huyo bwege ndie alisimamia apartheid South Africa.
Yaani huyo bwege ana lawama kibao...hadi vita ya Vietnam. Huyo ndio mzandiki mwenyewe
Kuna movie kacheza Leonardo DiCaprio, kuhusu huyu jamaa.
Robert Kennedy anasema siku ambayo kaka yake JF Kennedy kapigwa risasi Hoover ndiye alimpigia simu kumpa taarifa. Hakuna cha salamu akaanza kumwambia "The President is been shot" akakata simu. Baada ya muda akapiga tena simu akasema "The President is dead" akakata simu bila hata kutoa pole. Robert anasema Hoover alimpa hiyo taarifa huku akionekana kama mtu mwenye furaha sana kwa yaliyomkuta J.F. Kennedy.
Yeye ndiyo muasisi wa mchezo wa kijasusi unaoitwa "Bad-Jacket" ambao ulitumika dhidi ya wanaharakati wa The Black Panthers na Civil Rights Movements. Inatengenezwa barua ambayo inaonekana ina mwandiko wa mwanaharakati moja, huku ikionesha kwamba anashirikiana na F.B.I kisha inaenda kutupwa kwenye gari la mwanaharakati mwingine ionekane aliisahau.
Barua ikashafunguliwa basi mtafaruku na kutoaminiana kunaanza. Huu mchezo alichezewa marehemu Stokley Carmichael a.k.a Kwame Toure. Baada ya kufanya hivyo The Black Panthers wakamfukuza kwasababu alionekana ni kibaraka wa wazungu kumbe ni mpango wa Hoover.
Bwana bwanaaa, wadau wengi wanasema kwamba huyu jamaa alikuwa anatendwa hivyo!Pamoja na yote, alikuwa anashikishwa ukuta. Hilo ni la muhimu mno kwetu sisi waafrika wa Songagwegwe
Uzalendo...
Kwani unakereka kusoma historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika na kuona mchango wa masheikh akina Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Yusuf Badi, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Rashid Sembe kwa kuwataja wachache?
Majina haya wewe yanakuudhi kuwamo kwenye historia ya TANU?
Unataka niamini majina haya yalifutwa kwenye historia ya uhuru kwa kuwa hamkuyapenda?
Ungekasirika kama Kadinali Rugambwa au Pengo wangekuwa na historia ya kupigania uhuru bega kwa bega na Julius Nyerere?
Rogo...Hakuna mkristu anayepambania mambo yasiyo na tija kama hayo ya kuandikwa majina. yanasaidia nini sasa? Ukiangalia sana tofauti yetu iko hapo. Ili usife na presha kuna mambo inatakiwa yasikutatize. Mojawapo ni hili. As long Mwenyezi Mungu alipenda JK Nyerere awe ndio Rais wa Kwanza, there is no way you gonna change. Kawawa hakuweza na kwa kweli angeamua, angeliweza kabisa...sasa wewe utaweza kweli???
Rogo...Halafu pamoja na yote watu walikuwa wanampakata. Inasaidia nini sasa? pengine ndiye aliyewezesha hata kumtoa uhai yule Rais wao aliyekataa nuclear world.
Shekhe Mohammed, baadhi ya mifano unayoleta inaacha mengi ya kuangalia kiasi kwamba inapoteza hata malengo. Juzi kati ulisema Don Corleone na Bonnassera. Kazi ikaishaje huko sasa?
Nakuelewa sana. Hoover aliweza kuwatisha baadhi ya watu, lakini sio kila mtu. Kwasababu file hatari kwako, sio lazima liwe hatari kwangu. The things about this world are very relative. When something becomes so rigid, in the end, nature has a tendency of punishing it severely.Rogo...
Kila mtu amejaaliwa uwezo wake wa utambuzi.
Ikiwa hunielewi wala isikuhangaishe.
Kuna movie kacheza Leonardo DiCaprio, kuhusu huyu jamaa.
Ndio wala haitakiwi kusifiwaHuyo bwege ndie aliewatesa sana blacks Marekani. Huyo bwege ndiye alifanya mipango ya kumuua Dr. Martin Luther King
Huyo bwege ndie alisimamia apartheid South Africa.
Yaani huyo bwege ana lawama kibao...hadi vita ya Vietnam. Huyo ndio mzandiki mwenyewe
Yeah, alikuwa analiwa kiboga. Na ukishamla ukizingua au akikuhisi kuwa unataka kumfichua anakupoteza. Pia watu wengine wote aliohisi kuwa wana hint yoyote kuhusu siri yake hiyo aliwapoteza. Na huu kwangu ni uthibitisho mwingine kuwa kitendo cha ulawiti ni ushetani mkubwa sana.Alikuwa gay halafu..alikuwa na bwana wake hapo hapo FBI
Waliokuwa wanajua walimbatizw jina moja la kike.
Ingawa alikuwa anaogopwa na Marais hadi Mafia.
huyu mtu kumuogopa kiasi hicho ina maana hata waliomuweka kwenye hicho kiti walikua hawana nguvu kwake?
Katiba zao hazijarundika mamlaka kwa mtu mmojahuyu mtu kumuogopa kiasi hicho ina maana hata waliomuweka kwenye hicho kiti walikua hawana nguvu kwake?