Ngioja nizame boom play.... sijawahi usikia huuView attachment 2588632
Huu alishirikishwa na ghafla naweza usikiliza siku nzima....
Utafute pia amekamua sana kwenye kiitikio....
Utanipa mrejesho....🤓Ngioja nizame boom play.... sijawahi usikia huu
Ulivoandika kwa hisia utakua ukisikia ngoma zake unaloa kabisaHuyu kijana Ni fire Sana,mashairi yake yana mvuto Sana,ye mwenyewe ana mvuto Sana,kifupi mziki unamnogea.... Hongera kwa kazi nzuri kijana
Ova
Yupo humu jukwaani, anatumia jina la Equation x 😅😅Huyu kijana Ni fire Sana,mashairi yake yana mvuto Sana,ye mwenyewe ana mvuto Sana,kifupi mziki unamnogea.... Hongera kwa kazi nzuri kijana
Ova
Kiki za kingese ndio kama zipi hizo mkuuAnajua alafu hana kiki za kingese
🤣🤣🤣🤣🤣Kama kweli Ni yeye apite hapa chap!nimpe pesa akaimbe wimbo mmoja studio Kwa gharama zangu Equation x njoo udhibitisheYupo humu jukwaani, anatumia jina la Equation x 😅😅
nilijua tu utamuandikia uziHuyu kijana Ni fire Sana,mashairi yake yana mvuto Sana,ye mwenyewe ana mvuto Sana,kifupi mziki unamnogea.... Hongera kwa kazi nzuri kijana.
Ova
Sinza Lego Hapa 📍Mwenye account yake tafadhali!halafu t-shirt yangu mbona sijaipata nipo hapa maduka mawili niifate wapi?
Kumbe ni dogo tu🤭Nampenda upendo wa agape tu,Ni mdogo Sana yule kwangu namzaa huku nacheza singeli
Usije na Rafiki zako sasa jezi ipo moja 😁Ngoja niite bolt....saa kumi na dkk 17 nitakuwa hapo
Hapo sasa...nipigie niimbie
🤣🤣🤣🤣🤣Nakushauri ubaki na National Anthem huyo mzabzab ana harakati Kama Dr Pimbi yaani🤣🤣🤗 Afu nilimchagua yeye pekee katika wengi....😢ngoja nirudi Kwa mzabzab tu....
😂Sawa Mkuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mi mwenyewe sitaki shobo nao usije airisha ukampa mwingine bureeeee