The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Labda ma vitu zao za simu kujiedit .basi salamaHamna picha tu imemtoa vibaya,mbona huwaga amekaza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ma vitu zao za simu kujiedit .basi salamaHamna picha tu imemtoa vibaya,mbona huwaga amekaza tu
Ni kadume kabisa .sikuiz tunapata wasiwasi sanaKauzuri nako kapo kapo🤣🤣🤣
Ndio tena kipindi hicho hajaanza kuwa na jina jay melody walipozinguana ndio akaamua kuanza kuimba mwenyewe sasa.Kumbe ndio alikuwa fundi wake?
Angalia hilo pozi kwenye hiyo picha then utaelewa what i mean [emoji4]Kwa Nini wa Daslam na sio wa mkoani jamani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaaa.Mlongo wangu wanataka nimpe mtoto wa watu degedege kuchungulia wazee[emoji1787]