J umenipagawisha kwa penzi lako (Nampenda sana huyu senior expert member, jina namhifadhi)

Usiishie tu kupagawa na kuandika threads humu ukasahau nawe una wajibu kwa mwenzi wako. Mapenz ni kutumikiana usije jisahau kamwe maana unaweza washiwa red light any time. By the way put your God first instead of your partner everything will be under control.
 
Mapenzi ya siku hizi huwa mixer na ushirikina
 
Nimefurahi sana uandishi wako.asante kwa kuwa mkweli maana watu wana tabia ya kukandia kila kitu hapa jukwaani . Uko wapi Little Angel
 
Last edited by a moderator:

Thanks .
 
mapenzi ya siku hizi huwa mixer na ushirikina

Mkuu huamini kuwa unaweza pagawa tu na swaga za mtu bila ushirikina?
Mungu anao uwezo mkubwa kuzikutanisha nafsi zinazopendana kana kwamba kila moja iliitafuta nyenzie ktk jangwa kubwaaaa.
All in all nampenda sana huyu Bwana J.
 
Kama una mdogo wako, mwambie na mimi moyo wangu ni kama wa jfm

CC Preta ukuje huku umpokee wifi mpya.

Aisee
Nimecheka kwa sauti.
Nitamjuza,umri wako lkn,maana una sound kama umekula chumvi nyingi asijejiingiza kwenye risk👅
 
Last edited by a moderator:
Aisee
Nimecheka kwa sauti.
Nitamjuza,umri wako lkn,maana una sound kama umekula chumvi nyingi asijejiingiza kwenye risk

Miaka 72 sio mingi. Nimelingana na Reginald Mengi. Unataka kunambia K-lyn amepotea njia??
 
Miaka 72 sio mingi. Nimelingana na Reginald Mengi. Unataka kunambia K-lyn amepotea njia??

Mengi ana makaratasi ya bank,we unayo?
Yale makaratasi humuongezea life span kwani anakua stress free hivyo chance ya kumuacha k-lyin mjane inapungua(ceteris peribus) ukilinganisha na asie na madolare.😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…