Jabali kuu la TFF kuumbuliwa na PISIBIBI hivi punde

Hujisikii vibaya mwana jf mwenzetu kwenda lupango??!
 
Mpira umekua kichaka cha kukimbilia kutafuta uongozi hasa ukizingatia hata kupiga danadana tano MTU hawezi lakini ndio kiongozi anaongoza soka letu.kwahiyo unategemea nn kama sio madudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…