TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
Kwa mda huo atachoma mafuta bure, huku kina dozen Na Mchomvu kule kina Dullah
Dah! nilikuwa namkubali sana Proveb, anajua sana, siku hizi anafanya muziki wa Gospel ila kwenye hiphop zaidi.Dullah swagga zake huwa namfananisha na Proverb presenter wa Channel O ya Afrika Kusini.
Ah mkuu visingeli vikitolewa efm radio gan itapiga visingeli.?Sielewi ata mimi kwa nini wamempa saa moja kama ratiba imebana wangempa ata ule muda wa visingeli jioni
Mimi nimeshawai kumsikia sana pale times Fm na ana uwezo mkubwa sana na naona muda wamempa mdogo sana.Yeah ata mimi nmeona hilo wengi awajapata nafasi ya kumsikiliza ndio maana atuelewani hapa. Naamini alipo sasa atasikika na wengi zaidi na kueleweka.
moja ya kitu kinacho wabana kutokupata wasilizaji wengi ni Frequency zao..mtu si rahisi kufika huko 100..Management ya Times fm hawa watu sijui wana matatizo gan.Wameondoka madj weng kwenye kituo chao na watangazaji wakal lakini sion replacement yoyote waliyoifanya.Kwa mwendo huo wataendelea kuwa wa mwsho tu kwa radio za burudani town
Frequency zao ni 93.7moja ya kitu kinacho wabana kutokupata wasilizaji wengi ni Frequency zao..mtu si rahisi kufika huko 100..
KUMBE NDUGU JABIR HUKU UNATUMIA ID YA GadoTz !!!Mtangazji bora kabisa wa muziki wa Hiphop kwa sasa Tanzania Jabir Saleh aka Kibonge Toz anakuja rasmi na kipindi kipya ndani ya radio ya EFM. Kipindi hicho kitaitwa Ladha 3600 ambacho kitakuwa hewani kila siku kuanzia saa 9 – 10 za jioni.
Kwa sasa naweza kusema hakuna mtangazaji wa radio kizazi hiki anaeujua muziki wa kizazi kipya na old skul especially hiphop kama Jabir. Ni mtangazaji mwenye staili ya aina yake kuanzia utangazaji, swag, uelewa na uhodari.
Nampa pongezi kwa kazi yake na tunaomba aendelee kuiwakilisha Hiphop ata huko kwenye nyumba mpya. Sisi wapenzi wa Hiphop tunakubali juhudi zako na tunakutegemea kama askari hodari na masikio yetu yapo kwako.
Hakuna,mi nakataa,kama mwili wake mwenyewe umemshinda hata kazi ya mtu ya kuajiriwa itamshinda,
Mwambie apungue kwanza.[/QUUmejuaje kuwa mwili umemshinda he wants to be BIG then he is, hakuna haja ya kutoa mapovu, kitu cha umuhimu ni kuangalia uhebdeshaji wa kipindi chake then we will discuss about him
Mimi nimeshawai kumsikia sana pale times Fm na ana uwezo mkubwa sana na naona muda wamempa mdogo sana.