Jack Pemba azua tafrani Dar

Jack Pemba azua tafrani Dar

Jack Pemba mzee wa kumwaga minoti kwenye kumbi za starehe, Mtoa mada aka PAPAA JIWE mtahadharishe huyo papaa mwenzako bongo mapapaa wote wamekwisha umebak wewe tu na yeye sasa kama atamudu...

Papaa aliebakia mjini ni mmoja tu,katunzi,hii ni baada ya yeye kua mjanja kujenga apartments huko mbezi zinazompa kula sasa mjini,wengine wote njaa inawaua.
 
Last edited by a moderator:
ili usiendelee kutesa jamii yetu kwa sembe zako tuna kukabidhi lulu michael buree bila mahali ili akutangulize fasta
 
Picha yake tafwadhali.

_MG_4569.jpg
 
Flamingo iko nje Ya Airport Sasa yeye alikua anatoka wapi mwanza? Aende uko zake zimekwishaaa analazimisha umaarufu funza yule ...
 
hawezi akawa bilionea mpaka apige picha na ....
 
Back
Top Bottom