Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaitwa Jackie Cliff so kuna surname, anapicha ya baba yake pia, in contact with him na yeye mwenye ni shombeshombe if she is serious about arguing her case.
Ni hivi huyo binti ni raia wa United Kingdom I was just trying to give a perspective kama kuna rafiki zake humu.
Nonetheless what the bitch does next with her life is not my problem; ila aelewe tu yeye ni raia wa U.K.
Usiku mwema, tushaleta umbea kwenye kadamnasi na kujaribu kumfungua macho muhisika directly or indirectly; mengine yake na mungu wake as far as I am concerned
wanao jua thamani yake ndio hao wana lilia uraia pacha, na wengine kutoka mataifa mbalimbali wana kuja uchukua... walio baki kama wewe bado mnao kama ngozi ya mwili...Uraia wa tz unakupa nini unajua faida za kuwa raia wa UK lakini?
wanao jua thamani yake ndio hao wana lilia uraia pacha, na wengine kutoka mataifa mbalimbali wana kuja uchukua... walio baki kama wewe bado mnao kama ngozi ya
Mataifa yapi wakimbizi? Ebu njoo ulaya afu uje uongee tena nch yetu tunapenda amani tu lakini maslahi tunayapata uku ulayawanao jua thamani yake ndio hao wana lilia uraia pacha, na wengine kutoka mataifa mbalimbali wana kuja uchukua... walio baki kama wewe bado mnao kama ngozi ya mwili...
ebu jielezee hapa mkuu...Mataifa yapi wakimbizi? Ebu njoo ulaya afu uje uongee tena nch yetu tunapenda amani tu lakini maslahi tunayapata uku ulaya
Mataifa yapi wakimbizi? Ebu njoo ulaya afu uje uongee tena nch yetu tunapenda amani tu lakini maslahi tunayapata uku ulaya