Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu pepo mchafu anayekuendesha usipomkemea atakusumbua sanaMmh shoga kashaona wamachame maji marefu kaamua kujipendekeza mwenyewe yaishe mxieew umaskini mbaya, kaa upate mgawo wako ulee watoto wako, watoto wa mengi sio maskin kama wewe, shukuru Mungu tu ulizaa na mzee angalau mjini na wewe utaonekana sasa hiviView attachment 1792866
Mno mno yani kama kadata vile au alikua anapretend kua classy kipindi yuko na mzee na saiv hayupo anaonesha rangi yake halisi.Nakumbuka kabla ya mzee kuanza kuumwa dada nilikuwa namuona Kama Michelle Obama hivi...maana alikuwa matawi hasa!! Sasa hivi amekuwa mswahili haswa
Mmh shoga kashaona wamachame maji marefu kaamua kujipendekeza mwenyewe yaishe mxieew umaskini mbaya, kaa upate mgawo wako ulee watoto wako, watoto wa mengi sio maskin kama wewe, shukuru Mungu tu ulizaa na mzee angalau mjini na wewe utaonekana sasa hiv
Au kama vipi amng'ang'anie yule ambae hajaoaMmh shoga kashaona wamachame maji marefu kaamua kujipendekeza mwenyewe yaishe mxieew umaskini mbaya, kaa upate mgawo wako ulee watoto wako, watoto wa mengi sio maskin kama wewe, shukuru Mungu tu ulizaa na mzee angalau mjini na wewe utaonekana sasa hiviView attachment 1792866
Hata Mimi nilitaka nimuulize kwani wewe ni mwanaume au mwanamke Ila nikapotezea,maana samtaimz namfikiria ni mwanaume lkn kuna muda napatwa na maswali na namna ya uandishi wake kwamba mwanaume gani anakuwa na mwandiko wa hiviJana umeanzisha uzi ukasema wewe ni mwanaume.
Leo imekuwaje? [emoji44][emoji44]
Huyo ni mwanaume aliyejivua gambaHata Mimi nilitaka nimuulize kwani wewe ni mwanaume au mwanamke Ila nikapotezea,maana samtaimz namfikiria ni mwanaume lkn kuna muda napatwa na maswali na namna ya uandishi wake kwamba mwanaume gani anakuwa na mwandiko wa hivi
Kama hajaelewa aseme tumuelewesheHuyo ni mwanaume aliyejivua gamba
Huyo ni mwanaume aliyejivua gamba
Asee [emoji848]..nimeelewa ngoja nipite hivi apanifai hapaKama hajaelewa aseme tumueleweshe
Jana umeanzisha uzi ukasema wewe ni mwanaume.
Leo imekuwaje? 😲😲
Natamani kumuona😃😃😃
Ndivyo alivyo humu.. utamzoea tu.. na kupotezea.. hata kupa jibu sahihi..
Hiyo itakuwa ni Ile og mamilooohiyo pochi ni zile za 28,000 au ni OG?
Lazima maana si alikuwa ana BOT ndaniNakumbuka kabla ya mzee kuanza kuumwa dada nilikuwa namuona Kama Michelle Obama hivi...maana alikuwa matawi hasa!! Sasa hivi amekuwa mswahili haswa
Asingezaa nje, ilikuwa lazima sana azae nae ili malengo yake yatimieWale madogo bila hata dna ni wa marehemu
Hii ni kama zile za Zari, OG zina chainhiyo pochi ni zile za 28,000 au ni OG?