FORCE NAMBA
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 937
- 327
Loading..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ISIS, nadhani kuna vitu flani tupo sawa. hizi shepu mi mwenyewe huwa nazipenda kinyama.
pesa ishafanya yakeKaolewaaaa:?? NATAKA KUJIPA UGONJWA WA MOYOO POTELEA MBALI... BABU YUPO
Sijawah kumsikia kama kagombana naye ila anawaambia wakina wema wawe kama huyu jackline mengiMange hajawahi kqwli kugombana nae huyu?
Isis mwenyewe mwanamkeISIS, nadhani kuna vitu flani tupo sawa. hizi shepu mi mwenyewe huwa nazipenda kinyama.
Nafanania na hao nilio waweka. ..hahaha mtu kwao. ..Isis mwenyewe mwanamke
Amen RA maana yake nini?, hasa hiyo RANafanania na hao nilio waweka. ..hahaha mtu kwao. ..View attachment 453368
JIBU hilo hapo. ..asante sanaAmen RA maana yake nini?, hasa hiyo RA
Dah,wanawake wazuri kweli,hapa inabidi kusogea huko wanakopatikana nichanganye damu,ni ethiopia/kush?Nafanania na hao nilio waweka. ..hahaha mtu kwao. ..View attachment 453368
Uki Google AMUN RA. ..utapata maelezo kamili. ..nashukuru sana cognitionDah,wanawake wazuri kweli,hapa inabidi kusogea huko wanakopatikana nichanganye damu,ni ethiopia/kush?
Mwanamke mzuri ana nyota njema. ..ndiyo maana Trump hasikii aelewi kwa wanawake wenye sura nzuri. ...sio umbo bali sura tu!uSIJIDANGANYE UZURI NI SURA NA UMBO, kama bwana wako ana jidai kakupende ur inner beauty ujue anakudanganya , ameku chukua wewe ili uwe mke wa ndani asiibiwe maana huw atuna sema chagua mke wa zile quality za kumfanya awe ana kaa tu ana asiweze tongozwa na wengine, ikiw ana maana ya kwamba mke asiwe mzuri wa kupindukia ,utatulizwa nyumbani wakatia mumeo ana shinda na vich3eche wenye urembo wa sura na maumbile.