wabongo kweli sio watu!! wakati ana report wakadai ohooo anabaniwa sura ile inatakiwa kuwa studio kwa usomaji wa taarifa ya habari, kuwa chiku liweno anatisha hasa akivaa yale mawani yake!! leo amepewa mala kama anawasuta watazamaji!!! kazi kweli kweli, kuwa hiyo kazi za kureport amwachie komandoo suzy(UFO SALO)!! Kuwa mtoto laini kama selem hazimfai!!anatakiwa kusoma habari tu, hizo nyingine wanaziweza kina komandoo kipensi(SAMU MAHELA) NA GEORGE MARATOO WA ITVIIIIIIIIIII!!!!
mi mdomo tu anavouweka wakati akiwa anaongea ndo ananishangaza...kuanzia leo fuatilieni mdomo wake anavoubinua utadhani anasuta watazamaji
Sauti anayo ila mashauzi yamezi,, naonaga km vile anajifunza kz
Hahaaaa kila siku nilikua nagombana na wife kuhusu huyu dada jinsi anavyofanya domo lake wakati akitangaza yaani sijui domo anawekaje mpaka domo linaonekana kubwa(pana) kuliko uhalisia kama anakula chapati bila kukunja!!!wife anasemaga nina chuki binafsi!!!
Mapozi yamezidi.... Mpaka anaudhi
Hahaaaa kila siku nilikua nagombana na wife kuhusu huyu dada jinsi anavyofanya domo lake wakati akitangaza yaani sijui domo anawekaje mpaka domo linaonekana kubwa(pana) kuliko uhalisia kama anakula chapati bila kukunja!!!wife anasemaga nina chuki binafsi!!!
daah dume zima unagombana na mkeo kuhusu mtangazaji ambae yeye hana habari na wewe anapiga kazi ana ingiza siku ha ha ha halafu unaona ufahari kuandika jf kua mkeo anaku chana una chuki za ki bwe.ge teh teh teh le gadem mburulaz kwi kwi kwi...."stop killing albinos they deserve to live"
wachawi wa jf mko wengi
cc: Deo Corleone
daah dume zima unagombana na mkeo kuhusu mtangazaji ambae yeye hana habari na wewe anapiga kazi ana ingiza siku ha ha ha halafu unaona ufahari kuandika jf kua mkeo anaku chana una chuki za ki bwe.ge teh teh teh le gadem mburulaz kwi kwi kwi...."stop killing albinos they deserve to live"
wachawi wa jf mko wengi
cc: Deo Corleone
Susan Mungi/Laura George...mwingine wa namna hii na aliyekuwa na mashauzi ya kufa mtu alikuwa ni Suzan George, mwanzoni mwanzoni wakati ITV ndio inaanza anza. Hivi aliendaga wapi yule bidada?
...Shukurani sana 'mpiga kinanda a.k.a Pianist na wengine wote mlionirekebisha katika hili. Nilikuwa namaanisha Laura George. Bidada alikuwa na mashauzi ya kufa mtu! Aliishiaga wapi?
Labda .......ila wkt itv inaanza laura George alikua ana mbwembwe sana akisoma hbr.
Aisee mmemsababisha dada wa watu akose confidence kabisa yani anaonekana live anaweweseka hajui aweke pozi gani