wabongo kweli sio watu!! wakati ana report wakadai ohooo anabaniwa sura ile inatakiwa kuwa studio kwa usomaji wa taarifa ya habari, kuwa chiku liweno anatisha hasa akivaa yale mawani yake!! leo amepewa mala kama anawasuta watazamaji!!! kazi kweli kweli, kuwa hiyo kazi za kureport amwachie komandoo suzy(UFO SALO)!! Kuwa mtoto laini kama selem hazimfai!!anatakiwa kusoma habari tu, hizo nyingine wanaziweza kina komandoo kipensi(SAMU MAHELA) NA GEORGE MARATOO WA ITVIIIIIIIIIII!!!!
Hahahahahaaa jf raha sn,ya kwamba komandoo suzy na komandoo kipensi. Duh.....nimeanza siku kwa furaha.