Kweli kabisaaaa kuna siku nilimuona nikasema huyu dada ana matatizo ya mdomo amaaa.mbona anasoma habari kama anamsuta mtu...duuhh atakua ana matatizo fulani kisaikolojia labda anaamini akisoma kwa pozi hizo ndo anapendeza
Kweli kabisaaaa kuna siku nilimuona nikasema huyu dada ana matatizo ya mdomo amaaa.mbona anasoma habari kama anamsuta mtu...duuhh atakua ana matatizo fulani kisaikolojia labda anaamini akisoma kwa pozi hizo ndo anapendeza