Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi mdomo tu anavouweka wakati akiwa anaongea ndo ananishangaza...kuanzia leo fuatilieni mdomo wake anavoubinua utadhani anasuta watazamaji
Kweli kabisaaaa kuna siku nilimuona nikasema huyu dada ana matatizo ya mdomo amaaa.mbona anasoma habari kama anamsuta mtu...duuhh atakua ana matatizo fulani kisaikolojia labda anaamini akisoma kwa pozi hizo ndo anapendeza