20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,186
- 7,184
Mapozi yamezidi.... Mpaka anaudhi
Yule dada anaonekan mshari flan hiv, ana mapozi ya kishambenga flani hivi uson
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapozi yamezidi.... Mpaka anaudhi
Kwenye tv muonekano ndio tija kuu then ndio sauti inafuatia, ni eye then ear.
Sasa kama yeye anaanzia kunogesha kwenye ear wampeleke radio one tuwe tunamskia tu.
Hata ivo mie nahic yule ni ndugu na mkurugenzi, maana cheo kimempanda fasta akati alikuwa ni reporter wa kipima joto kitaani!
Yule dada anaonekan mshari flan hiv, ana mapozi ya kishambenga flani hivi uson
Ni zaid ya undugu, I know jack kuanzia secondary na chuo tukasoma kimoja yan kasomea ki2 tofaut kabsa na nmeshangaa ss hv n m2 mkubwa ghafla namna hyo kwny kituo kikubwa km ITV mmhh ana kismat balaa
Ata mi huyu dada huwa naona anamapungufu meng tu anapotangaza anamapoz sana yan si mtangazaji mzur havutii yan anajiona anajua kutangaza kumbe hamna kitu
Ni zaid ya undugu, I know jack kuanzia secondary na chuo tukasoma kimoja yan kasomea ki2 tofaut kabsa na nmeshangaa ss hv n m2 mkubwa ghafla namna hyo kwny kituo kikubwa km ITV mmhh ana kismat balaa
mi mdomo tu anavouweka wakati akiwa anaongea ndo ananishangaza...kuanzia leo fuatilieni mdomo wake anavoubinua utadhani anasuta watazamaji
Hivi ITV hawaoni mapungufu ya huyu dada? Bora mumrudie Godwin kila siku!
Sauti anayo ila mashauzi yamezi,, naonaga km vile anajifunza kz
Ata mi huyu dada huwa naona anamapungufu meng tu anapotangaza anamapoz sana yan si mtangazaji mzur havutii yan anajiona anajua kutangaza kumbe hamna kitu
mi mdomo tu anavouweka wakati akiwa anaongea ndo ananishangaza...kuanzia leo fuatilieni mdomo wake anavoubinua utadhani anasuta watazamaji