Jackline Wolper : 2020 nitamuunga tena mkono Lowassa

Jackline Wolper : 2020 nitamuunga tena mkono Lowassa

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Msanii wa Bongo movie amedai yeye hana Chama ila anamkubali Lowassa na alikuwa akimkubali tokea akiwa CCM na 2020 atamsapoti tena.
Amesema yeye hakua Chadema na wala sio CCM

 
Msanii wa Bongo movie amedai yeye hana Chama ila anamkubali Lowassa na alikuwa akimkubali tokea akiwa CCM na 2020 atamsapoti tena.
Amesema yeye hakua Chadema na wala sio CCM




Sasa cha ajabu nini hapo? Huyo Jina lake kamili ni Jackline Wolper Masawe, sasa ni lini uliona Masawe akampigia kura mtu asiyetoka KLM?
 
Back
Top Bottom