Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Binamu acha hizo bwana, ila jamaa anaonekana ana mawe kiasi fulani.
Kila siku alikua anamficha tumeshamuona.
Ahahaha mwenzangu uwiiii!!! Warumi nilivyombea mpaka nimeshasahau na sheria ya cyber akii...mmh binamu we acha nina mengi hatar...ngoja niandae ubuy nije pm
, wajibu na hili... "Wolper alilia hapo ili iweje" ? Yani how? Why?hivi kweli wabongo muvi wanafaa kuwa wake?! ..........
Pete ya kuvalishana bar?? Bado hajatupata akii, mxieuwwww!!!!
No wazazi wa mume wala wa muke mmh!! Mabwakuuu...na yule wife wake kamuacha au ? Wolper ndio
Kila la kheri Jack, Mungu aulinde uchumba wenu ulete ndoa na ndoa ilete matunda mema (watoto) na muishi maisha marefu.
Kwani ni nini mkuu?Matunda ya ndoa ni watoto?
, wajibu na hili... "Wolper alilia hapo ili iweje" ? Yani how? Why?
Babu wee uzunguuuuuuuu
Raha ya pete utolewe mahari uvishwe na wazazi wakishuhudia.....
Mambo ya uchumba kushuhudiwa na marafiki nani anataka????
Kidoleni mwanaume anapete ya ndoa.
Nipe umbea warumi
Kwani ni nini mkuu?
Pete ya kuvalishana bar?? Bado hajatupata akii, mxieuwwww!!!!