Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Binamu acha hizo bwana, ila jamaa anaonekana ana mawe kiasi fulani.
Kila siku alikua anamficha tumeshamuona.
hahaha eti mawe , mbele ya mawe pete unaweza ikubali hata kwenye daladala aisee chezea haya maisha