Kuna best yangu mmoja ivi nilienda kumuona muhimbil kajifungua kwa operation, nikamuuliza ulikuwa mvivu ku push nin au mambo ya matumizi ya tigo, akaniambia best wee acha tu , nina nyonga ya kiume mwenzio ngumu kiama siwez kumanua vizur, binamu nilicheka sana dah
Kijamaa kimoja ivi ki modo uchwara kinajifanyaga mataw kumbe mavi tu ndo wale wale wakina gee model
nipo binamu nimejaa
Mwenzangu nilikuwa natafuta umbea mitaa ya kati binamu
imebini nicheke tu nifah,samahani nimekuquote wengine hawapendi!
Usijali my dear,welcome...
Nilikuwa mitaa ya kina ridh kule mikochen natafuta umbea
si nasikia kila duka la nguo anadaiwa hapa mjini? kwa hiyo jama atakayeoa kitu cha kwanza ni kulipa madeni hayo..nani anataka zigo hilo...
Wolper aka muuza ma dildo, pale binamu ukienda unapat dildo size yeyote ile
pole mwaya nimeona majanga yako upande wapili.potezea.
Wewe acha tu watu wana stress sijapata ona....