Jackline wolper: Natamani kuolewa

Jackline wolper: Natamani kuolewa

Kuna gazeti wameandika wema amwaga chozi hadharani,mama wema mama dimond waombwa kuingilia kati,wahofia wema kupata ugonjwa uliomuua kuambiana.sijalisoma wala sijanunua magazeti ya udaku samtaim yanaandika uongo.

Ni shidaaaa tusubiri mwisho wakee tuuoneee hivi warumi ndio kaenda kimoja au???
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa,hii thread nina mashaka watu watakula ban muda si mrefu maana hii ligi ya leo hatari bora ya Dinazarde na lolowapi...
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa,hii thread nina mashaka watu watakula ban muda si mrefu maana hii ligi ya leo hatari bora ya Dinazarde na lolowapi...

Mbona ya kawaida tu ngoja nikamtafute huyu lolowapii nimpe nakoz 6 hiv akili zimkaee,
 
Last edited by a moderator:
Mbona ya kawaida tu ngoja nikamtafute huyu lolowapii nimpe nakoz 6 hiv akili zimkaee,

Hana jipya pochi ya madame haina kitu,hapo alipo hana hata vocha ataingiaje humu?
 
Anaitwa callisah,ni modo flani hivi...alikua na mwanamke mwingine kamuacha karudi kwa wolper..dada wa watu aliumia kama nini masikini!!!

Calisah mwenyew ana nini yule? Serengeti boy
 
Ni shidaaaa tusubiri mwisho wakee tuuoneee hivi warumi ndio kaenda kimoja au???

Kuna best yangu mmoja ivi nilienda kumuona muhimbil kajifungua kwa operation, nikamuuliza ulikuwa mvivu ku push nin au mambo ya matumizi ya tigo, akaniambia best wee acha tu , nina nyonga ya kiume mwenzio ngumu kiama siwez kumanua vizur, binamu nilicheka sana dah
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom