Jackline wolper: Natamani kuolewa

Jackline wolper: Natamani kuolewa

Wolper kashazeeka mamaye hana mpya menina ndo habare ya mujini

Ndio nashangaa umeweka liuzi la wolper la nini sasa Zamda Geuka njoo uone warumi nae hajisikii kuongelea wolper Menina habare nyingine dadaadeki hutaki kafie Nyakahoja
 
Last edited by a moderator:
Mtoto mashallah...huko nyuma kajiny.eaa....

Diamond awe makini na Wema, yule kashakuwa concord, ukute anataka ndoa ya kuringishia kama Lucy Komba....
Ndoa sio sherehe ya harusi ya siku moja....

Kama Diamond unasoma hapa hebu jifunze kwa Mrisho Ngassa....mke yuko mahakamani anataka wagawane pasu kwa pasuu....

Sasa we jishaue kumuoa huyo mpenda show off siku mbili akudai talaka mgawane......mjini hakuna kuoneana hurumaa....!

Bora hata umuoe Didaaaa.....

Mtoto umbo linaeleweka sio ta.ko la wema box si box shida tupu, gume gume hilo nani alioeeee
 
Ndio nashangaa umeweka liuzi la wolper la nini sasa Zamda Geuka njoo uone warumi nae hajisikii kuongelea wolper Menina habare nyingine dadaadeki hutaki kafie Nyakahoja

nisaidie kushangaa mtu anang'ang'ana na wolper nani anataka hapa!habari tamu ni menina na wema tu baasi
 
Last edited by a moderator:
Kuna kubwa letu a.k.a mwenyekiti warumi hayupo popote ni jamii tuuuuu,utamuona na huyoo

Huyu jamaa nae namuelewa sana, aisee sas naona. Dsm yote mnaijua in n out, by the way nikulize swali la kizushi?
 
Last edited by a moderator:
Mmh..usije nichamba. NGOJA nikae nalo moyoni tu

Hhhhhaaaaaa umenichekeshaaa mi hua sichambi watu banaa tena sasa hiv nimeokoka,basi niulizie kule pm ukikaa nalo litakuganda kama kina fulanii
 
Hhhhhaaaaaa umenichekeshaaa mi hua sichambi watu banaa tena sasa hiv nimeokoka,basi niulizie kule pm ukikaa nalo litakuganda kama kina fulanii

Mmh! So hapo ndo umeokoka? Nawish ningekufaham before hujaokoka,,,😛
 
Ok

Nasikitika kuwa mwenyewe hajaja kuweka mambo sawa humu but i will continue this discussion na Mwanasiasa who seem to be more intouch with Chadema and so on lakini jibu langu litamsubiri atakayoyasema

Nyakahoja ipi mana mimi najua shule y nyakahoja hamna pimbi hpo mana nimeskul hpo,ila pimbi wko milimani
 
Back
Top Bottom