Jackline Wolper or Jackline Lowassa

Ukawa wala siwaflag hata kidogo,kama Ccm nao navyowadisi siku lowasa akibeba nchi nahama nchi hii naenda kuishi bora hata ulaya vijijini ulaya nako si kuna vijiji wazee?au..?

Me nakula dry sana siku hizi,vp wewe zako ni mixer kali nene
Kama upo dar ni pm tukutane sehemu tunuse majani
 
Sasa hivi katukanwa nyuchi yake hadi huruma, kisaa siasa, wakati alikuwa hero.
Bongo balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…