Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Matendo makuu mimi nayaona, kwa kweli Bwana wewe ni mkuu.I loved the guy...kweli asee yupo wapi jamani mkaka!
Nyimbo yake ya baba yangu ulie mbinguni duuh huwa naipenda sanaa
Uzuri wako mpenziBaba yangu uliye mbinguni naomba unigange roho.
Ha ha haa!....Uzuri wako mpenzi
Hivi ana uhusiano gani na Fanuel Sedekia?Yupo Arusha na bado anaimba, sema hayuko kwenye media sana
kwa njia gani?ana wimbo wake unaitwa umenifanyia njia.. kama unao nirushie tafadhali.