everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
Oooh my God!! Pole sana Jackson Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu.Nasikia amefiwa na mke wake. Mungu awe faraja kwake na watoto wao na ndugu wao wa karibu na wapenzi wote na mziki wao. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina lake libarikiwe.