Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Nitoe pongezi kwa wadau wa masumbwi nchini kwa kuendelea kutupa furaha tena sisi wapenda masumbwi nchini. Kwa kipindi fulani unaweza kudhani kua mchezo wa masumbwi kama vile ulikua umesahaulika kama si kutokua na amsha amsha tena.
Pongezi ziwafikie Jackson Group na wadau wengine ambao mnaendelea kutengeneza mazingira mazuri ya kuinua kwa kasi mchezo wa Boxing.
Naomba kutoa pendekezo embu tumuandalie kijana wetu Mwakinyo na wengine mapambano haya, tunaweza na najua inawezekana kabisa.
Kwa Mwakinyo si mbaya kama atapigana na hawa jamaa ambao ndio current champions katika uzito wake. Hapa naanza na picha ya kwanza Patrick Teixeira kutoka Brazil ambaye ni Bingwa WBO Super Welterweight, picha ya pili ni Jermell Charlo wa Marekani yeye ni Bingwa wa IBF, WBC, na WBA uzito wa Super Welterweight.
Hakuna kisichowezekana, embu wadau wa masumbwi tufanye mambo wanamasumbwi tufurahi.
Pongezi ziwafikie Jackson Group na wadau wengine ambao mnaendelea kutengeneza mazingira mazuri ya kuinua kwa kasi mchezo wa Boxing.
Naomba kutoa pendekezo embu tumuandalie kijana wetu Mwakinyo na wengine mapambano haya, tunaweza na najua inawezekana kabisa.
Kwa Mwakinyo si mbaya kama atapigana na hawa jamaa ambao ndio current champions katika uzito wake. Hapa naanza na picha ya kwanza Patrick Teixeira kutoka Brazil ambaye ni Bingwa WBO Super Welterweight, picha ya pili ni Jermell Charlo wa Marekani yeye ni Bingwa wa IBF, WBC, na WBA uzito wa Super Welterweight.
Hakuna kisichowezekana, embu wadau wa masumbwi tufanye mambo wanamasumbwi tufurahi.