Jackson Mmari: Tatizo la Rushwa linaanza na Mtazamo wa Mwananchi mwenyewe

BabuKijiko

Member
Joined
May 3, 2024
Posts
24
Reaction score
38
JACKSON MMARI (Taasisi ya WAJIBU): Utafiti wangu niliofanya nimebaini tatizo la Rushwa linaanza na muono wa Mwananchi mwenyewe, mazingira yanaonesha anakuwa hatarini kutoa Rushwa kutokana na mazingira na tabia yake

Huku mitaani kuna tabia nyingi ambazo zinafanyika mtu anakuwa anajitengenezea mazingira ya kutoa Rushwa bila mwenyewe kujua

#JamiiForums #KemeaRushwa #Governance #JFUwajibikaji #JFXSpaces

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…