Inawezekana mange katuingikia humu kwakwel.Full upumbavuWarumi=mange
Ww inakuuma nn au inakuhusu nn???mbona mnawashwa washwa wanawake kuhusu huyu dada.Tafuten vya kwenu acheni wivu.Pambaneni na hali zenu.
Et hana uchungu na kifo cha mumewe ?kama nyie ndio wenye uchungu zaid si mwende leba mkazae wapuuzi nyie!!utadhan mnavipima uchungu kwenye macho yenu pumbavu nyie
Mna bore tatizo.Let her live her life.Leave her alone.ni maisha yake.Au na ww ni mtoto wa kambo wa mengi??Aaaah aaah povu vepeee?
Kuna wakati tunabebeshwa mizig isiyo yetu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Rumor has it kuwa jacky ndiye aliyesababisha Madam ritha kuwa banned ITV na bongo star search , hiyo yote ni kwa ajili ya kumkomoa Madam ritha who also rumored to be friends with Jacky before and also the ex of reg mengi.
Jacky pia we are told alihusika kikamilifu katika kumfilisi Emelda mwamanga wa Bang magazine , we all know the story of emelda
And most shockingly , two weeks before the death of mengi ,Jacky was busy doing media tour to flaunt akitaka kuonyesha Pubilc how deep in love she was with mengi , na Ma song mengi mengi ya Ma love Davi, wanazengo wanakwambia kuwa all drama was choreographed by Jacky to paint a picture kuwa they are so in love while she was in her terrible mission to finish the late mengi of which it was a success .
Jacky, wherever you are , remember that , karma is a very ugly bitch , that comes too fast , no wonder why you never cried when your husband died , wakat wewe ndo ulipaswa kuwa na uchungu kuliko hata wale walemavu na Madam ritha , yan your so called beloved husband anaungizwa kwa kaburi you were just watching as if it's a neighbor funeral , shame on you . Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu .
Hizo ndevu ameiga kwa Wakongoman Rais Kabila alikuwa anafuga, Koffi Olomide, Wazekwa na matajiri wengi tu wa Congo maana yake papaa mutu ya pesa/mbongo mutu muzito usidhani zinafugwa tu hiz ndevu.
[emoji12][emoji12][emoji12]Kuna wakati tunabebeshwa mizig isiyo yetu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hizo ndevu nchi zinazoongea kifaransa mapaa ndo staili yao. Mzee Mengi naye alitaka kuonekana wa kisasa kwahiyo wasisingizie hizo ndevu, hata Mbowe alipotoka Lumande alizifuga mbunge wa Rombo Joseph Selasini amefugaNashukuru umesema maana nilitaka kulisema hili nikaona nizidi kusoma comment kwanza
Kabuni umbea mpya, huu umecopy kwa mange naona leo swaumu kali.Rumor has it kuwa jacky ndiye aliyesababisha Madam ritha kuwa banned ITV na bongo star search , hiyo yote ni kwa ajili ya kumkomoa Madam ritha who also rumored to be friends with Jacky before and also the ex of reg mengi.
Jacky pia we are told alihusika kikamilifu katika kumfilisi Emelda mwamanga wa Bang magazine , we all know the story of emelda
And most shockingly , two weeks before the death of mengi ,Jacky was busy doing media tour to flaunt akitaka kuonyesha Pubilc how deep in love she was with mengi , na Ma song mengi mengi ya Ma love Davi, wanazengo wanakwambia kuwa all drama was choreographed by Jacky to paint a picture kuwa they are so in love while she was in her terrible mission to finish the late mengi of which it was a success .
Jacky, wherever you are , remember that , karma is a very ugly bitch , that comes too fast , no wonder why you never cried when your husband died , wakat wewe ndo ulipaswa kuwa na uchungu kuliko hata wale walemavu na Madam ritha , yan your so called beloved husband anaungizwa kwa kaburi you were just watching as if it's a neighbor funeral , shame on you . Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu .
Hivi jacky alitakiwa akarukie jeneza lisiingizwe kaburini?Yule mwanamke mzee aliingia cha kike na ndio hasara ya kuacha wake uliochuma nao mali unakimbilia madanga, yaani binti alikuwa pale kwa ajili ya njaa tu na sio mapenzi, ni binti gani atoke na mtu aliyemzidi miaaka 35 kama sio utapeli tu
Alafu siku ile jeneza linaingia kaburini ndio ilithibitisha jacky the way alivyo, jamani msiache wake zenu mliochuma nao
Kufuga ndevu nyeupe ni kujiandaa kufaa?Acheni uongo. 'Wataalam wa mambo' tulianza kukiona kifo cha Mengi mapema. Mara baada ya kufariki mke wake, mie mwenyewe nilikuwa mtu wa mwanzo kumshauri akafunge ndoa upya ili kujiandaa na safari yake ya kiroho. Uzi huo ulifutwa wiki mbili tatu baadaye. Nashukuru Mungu Askofu Dr Shoo alituhabarisha kuwa Dr Mengi alifanya hivyo.
Hapa JF pia kuna ule uzi mwingine ambao ulihoji juu ya afya ya Dr Mengi hasa baada ya kuonekana kwenye msiba wa Ruge akiwa aemshaanza 'kuzimika'.
Mengi mwenyewe alitambua kuwa saa yake imekwisha na ndio maana alianza kutoa kauli za mafumbo akisema, bila Jack, huenda angekuwa amekwisha kufa.
Pia Mengi, hivi karibuni alianza kufuga midevu myeupe. Hii ilikuwa ni ishara kuwa ameshakubaliana na hali halisi kuwa amekwisha zeeka na siku zake zimekwisha so wacha tu mimvi ionekane.
Dalili zote za Mengi kuwa siku zake zilikuwa zimekwisha, zilishaanza kuonekana mapema.
Acheni kumuhusisha binti wa watu na kifo hicho ili kumchafulia jina.