Jacky Mengi aka Jezebel's Daughter

Jacky Mengi aka Jezebel's Daughter

Acheni uongo. 'Wataalam wa mambo' tulianza kukiona kifo cha Mengi mapema. Mara baada ya kufariki mke wake, mie mwenyewe nilikuwa mtu wa mwanzo kumshauri akafunge ndoa upya ili kujiandaa na safari yake ya kiroho. Uzi huo ulifutwa wiki mbili tatu baadaye. Nashukuru Mungu Askofu Dr Shoo alituhabarisha kuwa Dr Mengi alifanya hivyo.
Hapa JF pia kuna ule uzi mwingine ambao ulihoji juu ya afya ya Dr Mengi hasa baada ya kuonekana kwenye msiba wa Ruge akiwa aemshaanza 'kuzimika'.
Mengi mwenyewe alitambua kuwa saa yake imekwisha na ndio maana alianza kutoa kauli za mafumbo akisema, bila Jack, huenda angekuwa amekwisha kufa.
Pia Mengi, hivi karibuni alianza kufuga midevu myeupe. Hii ilikuwa ni ishara kuwa ameshakubaliana na hali halisi kuwa amekwisha zeeka na siku zake zimekwisha so wacha tu mimvi ionekane.
Dalili zote za Mengi kuwa siku zake zilikuwa zimekwisha, zilishaanza kuonekana mapema.
Acheni kumuhusisha binti wa watu na kifo hicho ili kumchafulia jina.
Ahsante mkuu. Sisi binadamu bwana. Yaani kila kukicha wanamtuingia dada wa watu uongo, usipokiki wanatafua mwingine yaani full roho mbaya.

Umesema ukweli maisha ya babu yalishafika ukingoni
 
Ooh kuumbe hata Marehemu alijua hilo.
Screenshot_2019-05-08-22-37-22-1.jpeg
 
Udaku wa kuokoteza yani Jack amfilisi Imelda?
 
Rumor has it kuwa jacky ndiye aliyesababisha Madam ritha kuwa banned ITV na bongo star search , hiyo yote ni kwa ajili ya kumkomoa Madam ritha who also rumored to be friends with Jacky before and also the ex of reg mengi.

Jacky pia we are told alihusika kikamilifu katika kumfilisi Emelda mwamanga wa Bang magazine , we all know the story of emelda

And most shockingly , two weeks before the death of mengi ,Jacky was busy doing media tour to flaunt akitaka kuonyesha Pubilc how deep in love she was with mengi , na Ma song mengi mengi ya Ma love Davi, wanazengo wanakwambia kuwa all drama was choreographed by Jacky to paint a picture kuwa they are so in love while she was in her terrible mission to finish the late mengi of which it was a success .

Jacky, wherever you are , remember that , karma is a very ugly bitch , that comes too fast , no wonder why you never cried when your husband died , wakat wewe ndo ulipaswa kuwa na uchungu kuliko hata wale walemavu na Madam ritha , yan your so called beloved husband anaungizwa kwa kaburi you were just watching as if it's a neighbor funeral , shame on you . Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu .
Wewe jamaa nishakuona mfitini sana sijui hizi roho za kinyama umezaliwa nazo au ni kupitia watu unaoishi nao! You pretend to know the inner circle of peopels' life but you are created with hatred and malicious stories and want to convince every body thats whatever you say is true. Kama una mtimanyongo na dada wa watu mwendee umwambie nini kiko rohoni mwako dhidi yake. Tangu msiba utokee umekuwa ukimshobokea sana huyu dada,mbona hukuandika au kutoa angalizo kabla ya msiba kuonyesha ulimpenda Mzee Mengi? Huu ni unafiki na kama umetumwa haitasaidi lolote. My advice to you MIND YOUR OWN BUSINESS! Mpaka unakera ebo!!!!!
 
Sawa mfuasi wa the_originaleast!! Kaweka kwa kingereza umecopy umekuja kutubwagia hapa
 
Alim
Hizo ndevu ameiga kwa Wakongoman Rais Kabila alikuwa anafuga, Koffi Olomide, Wazekwa na matajiri wengi tu wa Congo maana yake papaa mutu ya pesa/mbongo mutu muzito usidhani zinafugwa tu hiz ndevu.
Alimuiga Mbowe
 
Bullshit,jack anawanyima usingizi kweli
 
 
Back
Top Bottom