Jacob Zuma alazwa hospital Kwazulu Natal, afanyiwa operesheni na nyingine kufuata siku chache zijazo

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
15 August 2021
Johannesburg, Republic of South Africa

Rais wa zamani Jacob Zuma amelazwa hospitalini katika maeneo ya KwaZulu Natal na kufanyiwa upasuaji wa mwanzo ambao katika siku chache zijazo anategemewa kufanyiwa operesheni kadhaa za kitabibu hivyo ataendelea kulazwa hospitalini kwa muda usiojulikana.

Rais huyo mstaaafu wa Afrika ya Kusini ana haki ya kupokea matibabu nje ya gereza alilofungwa kwa vile marais wastaafu wan haki kikatiba Korea huduma katika hospitali bora kabisa za jeshi la Afrika ya Kusini ikiwa ni sehemu ya marupurupu na stahiki za marais wastaafu.

Jacob Zuma underwent surgery on Saturday and more procedures have been scheduled for coming days


Former president Jacob Zuma.
Image: LULAMA ZENZILE/ File photo

Former President Jacob Zuma underwent surgery on Saturday at a hospital outside the Estcourt Correctional Centre in KwaZulu-Natal where he is serving a 15-month sentence, the department of correctional services (DCS) said.

“Mr Zuma underwent a surgical procedure on Saturday, 14 August 2021, with other procedures scheduled for the coming days. As a result, DCS is unable to predict a discharge date as our priority at this stage is for Mr Zuma to be afforded the best care possible,” the department said in a statement on Sunday.

“As inmates are placed in correctional centres involuntarily, the state has a total and inescapable responsibility and duty to care for them in a manner that does not violate or compromise their constitutional rights, which include access to healthcare.

“We appeal to all people to refrain from speculating on the health of Mr Zuma and allow medical practitioners space to continue providing quality healthcare to him.”

Zuma, 79, is serving jail time for contempt of court after he ignored an order to testify before the state capture commission of inquiry

READ MORE source : Jacob Zuma underwent surgery on Saturday and more procedures have been scheduled for coming days
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…