Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

AMBULENSI labda ndio hazijui hospital ni wapi 😂
 

Sasa mbona wanataka wakayamalize? Si walifungua case wenyewe?

Narudia tena Kaka yake Mengi hatoweza shinda hii case labda wamtafute na wambembeleze Jack lakini kinyume na hapo waula wa chuya
 

Hii ni ya kukazia katika kuelewa vizuri hii movie!!!
 
Namjua na sarakasi za kutoroshwa [emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]Mengi alivaba!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mojawapo ni kama hili watoto wa Bi mkubwa kutokupata urithi kutoka kwa Baba yao!Haijalishi wana umri gani haki ya kurithi iko pale pale nitakupa mfano mmoja wa kesi nilizoshuhudia wosia ukitenguliwa. Baba alifariki na akaacha wosia akagawa mali zake kwa watoto wake isipokuwa mtoto mmoja ambae alimzaa nnje ya ndoa but alikuwa anatambulika ndani ya familia!

Yule mtoto alikwenda Mahakamani kudai haki yake na alipewa! Ilibidi wosia utenguliwe na mali zigawanywe upya akiwemo na huyu ambae hakuwemo kwenye wosia! Siku hiyo ndio nilijua kuwa mtoto anaweza kunyimwa kurithi mali za Marehemu kama alitishia uhai wa Marehemu na ikathibitika pasipo na shaka! Nnje ya hapo hakuna jinsi unaweza mtenga mtoto wa Marehemu asipewe haki yake ya urithi kutoka kwa Mzazi wake! Nahapa ndipo kina Regina wanasimamia,haijalishi walipewa urithi na Mama yao (ambayo ni haki yao) lakini wana HAKI YA KURITHI PIA KUTOKA KWA BABA YAO!

Na hapa leo ndio nimethibitisha Jack ni mtupu kwa ile sababu aliyosema kwakuwa wakubwa walirithi kwa Mama yao basi hawa wadogo watarithi kwa Baba! Hakuna kitu kama hicho,watoto wote wanne wana haki ya kurithi Mali iliyoachwa na Baba yao period! Hao Wanasheria waliandaa huo wosia wapate chao tu but walijua kabisa hii kitu ni Time Bombing lilikuwa ni swala la mida tu! Usidhani kina Regina ni Wajinga kwenda Mahakamani na pia ukiona Mjane analia lia mitandaoni ujue kabisa keshaona mwelekeo wa kesi siyo mzuri upande wake! Haki yake atapata na wanae lakini siyo kama anavyotaka yeye NEVER!
 
Tatizo anashindana na watoto wakubwa anataka apate vyote yeye ndio awazidi wale wakubwa ndio nia yake

Na hapo ndio anafail vibaya sana! Kukosa Elimu napo ni kazi sana! Huku mitandaoni anataka kumbebesha lawama Shemeji yake wakati uhalisia anaujua fika kuwa anapambana na Regina na Abdiel! Hathubutu kuwagusa hao maana anajua moto wake! Btw si alitoa tangazo watu wasiguse mali za Mengi,mbona leo anakiri tena kuwa Regina ndio anacontrol kila kitu kilichoachwa! Wazazi tusomeshe watoto wetu hasa wa Kike! Shida ya kukosa Elimu hapa inaonekana!
 
Nyamizi,
Thank you...yani nilimshangaa mno
Unawezaje sema watoto hawastahili mali ya baba yao?. Aanze yeye awape mapacha Amorette tu aone...si wakipata vya mama inatosha hehe!!
Mkuki kwa nguruwe

anahaha
Ila ukimya ni adhabu kali sana anateseka mno
 

Hawa wa mke mdogo ndio watakuwa balaa si kwa kizazi chake tu hata kwa jamii nzima. Kama kweli huyo mwanaume alitaka kizazi cha maaana basi angetafuta mwanamke mwenye maadili mazuri tu. Lakini huyu Jezebel alikosea. Na afadhali amejifia maana angeona fedheha sana kwa hao watoto wa mke mdogo.
 
There you are...Zari na Jack sio league moja..zari ni smart sna sana
Zari alitaka ajiweke kwa kachalii ka Tandale, mond akawa mshamba, japo amekojolesha na na kuweka mbegu mbili.

Lkn zari alijua chalii anasaka hela ya mboga tu. Nadhan mume marehem wa zari hakuwa na mawe kama mzee marehem mengi. Definitely zari angemchubua mzee na mali ingekaa ya watoro. Imagine kama zari hana ndg wa ku control vyuo na biashara.

Jack wakati anasoma forodhani mimi nikiwa tambaza, nilidhani ni mjanja kumbe hana kitu. Alikuwa karembo kadogodogo, wakati huo tukiwa makonki tukifight kuzamia ugiliki. Mabaharia wengine walienda kufia italia.

Nilivyomaliza chuo marekani nikasikia anaimba, nikadhani amehamia kwenye music industry kumbe alikuwa anamshika mzee mbupu. Maana mzee hakuwa mtu wa kuhonga kimafia, mwanamke lazima asuguliwe. Sasa sidhan mzee kama alikuwa na uwezo huo.

Kiufupi, jack atulie kimya aache court iamue, ajitahidi watoto wasome mapema kwenye shule zenye hadhi wapate elimu Bora, ajitahidi wasome accounting education, sio makaratas, wasome wakikua waanze biashara. Wasiwe kama pupu, wakalia kuishi dubai, wazoee maisha ya biashara, anakazi kubwa kuwalea watoto waje kuwa wenyewe wasiishi na uleginald mengi, waishi wao kama wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…