Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jack anajichanganya maelezo.
Angalia dakika ya 31 ameulizwa kuhusu Hospital dubai.

Akasema

*mme wangu alidondoka hotelini walikuwa wanatembea, wakapiga reception wakaitiwa Ambulance....
Baadae akasema aliwauliza reception wawaelekeze hospital maana hazijui. Je ambulance inaweza isijue hospital?

Sent using Jamii Forums mobile app
AMBULENSI labda ndio hazijui hospital ni wapi 😂
 
Unaongelea scenarios za Ulaya na USA hapa Tz? Ulishaona wapi hapa Tanzania mbwa akaachiwa Urithi na ikawa hivyo? Ukiona mtu anapiga yowe kwenye mitandao wakati wenzie wako kimya ujue maji yako shingoni! Kwamba kwakuwa watoto wakubwa walipewa shares za Mama yao basi hawana haki ya shares za Baba yao,hapo ndipo penye mtihani,kama unazijua vizuri sheria za mirathi za Tanzania! Yeye apunguze tamaa,haki yake na watoto wake atapata lkn sio kama anavyowish yeye.

Sasa mbona wanataka wakayamalize? Si walifungua case wenyewe?

Narudia tena Kaka yake Mengi hatoweza shinda hii case labda wamtafute na wambembeleze Jack lakini kinyume na hapo waula wa chuya
 
Mnaosema huyo mzee alijivunjia heshima kutoka na Jackie angetoka na mwanamke wa umri gani ambae angeweza kuzaa miaka 60?55?45?em jifikirieni yeye mwenyewe ni dhahiri alitaka watoto maana hakuona tumaini kwenye kizazi chake.Hivyo mlaumuni huyo mzee na siyo huyo binti

Hii ni ya kukazia katika kuelewa vizuri hii movie!!!
 
Makiseo, Mimi namjua tokea anasoma forodhani
Mwalimu mkuu wa shule alikuwa anaitwa mbuya
Kaanza mambo mengi akiwa shule ya msingi
Tuyaache hayoooo

Aliishi na Mbulgaria Kuna wakati unaikumbka kisa kile ilisemekana walitoroshwa na wakawa wanatafutwa hadi Interpol kuingilia kati?

Huyu Dada wasimchukulie poa kashapigana vita vingi kajanjaaa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Namjua na sarakasi za kutoroshwa [emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]Mengi alivaba!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni elimu mpya kabisa kwangu. Shukrani sana.

Inamaana nnaweza kuandika na kutoa maelekezo yote kuhusu mgao wa mali zangu siku nikitwaliwa na bado mambo yakafanyika ndivyo sivyo?

Unaweza kuweka japo kwa uchache tu vitu gani vinaweza kupelekea wosia kutenguliwa?

Mojawapo ni kama hili watoto wa Bi mkubwa kutokupata urithi kutoka kwa Baba yao!Haijalishi wana umri gani haki ya kurithi iko pale pale nitakupa mfano mmoja wa kesi nilizoshuhudia wosia ukitenguliwa. Baba alifariki na akaacha wosia akagawa mali zake kwa watoto wake isipokuwa mtoto mmoja ambae alimzaa nnje ya ndoa but alikuwa anatambulika ndani ya familia!

Yule mtoto alikwenda Mahakamani kudai haki yake na alipewa! Ilibidi wosia utenguliwe na mali zigawanywe upya akiwemo na huyu ambae hakuwemo kwenye wosia! Siku hiyo ndio nilijua kuwa mtoto anaweza kunyimwa kurithi mali za Marehemu kama alitishia uhai wa Marehemu na ikathibitika pasipo na shaka! Nnje ya hapo hakuna jinsi unaweza mtenga mtoto wa Marehemu asipewe haki yake ya urithi kutoka kwa Mzazi wake! Nahapa ndipo kina Regina wanasimamia,haijalishi walipewa urithi na Mama yao (ambayo ni haki yao) lakini wana HAKI YA KURITHI PIA KUTOKA KWA BABA YAO!

Na hapa leo ndio nimethibitisha Jack ni mtupu kwa ile sababu aliyosema kwakuwa wakubwa walirithi kwa Mama yao basi hawa wadogo watarithi kwa Baba! Hakuna kitu kama hicho,watoto wote wanne wana haki ya kurithi Mali iliyoachwa na Baba yao period! Hao Wanasheria waliandaa huo wosia wapate chao tu but walijua kabisa hii kitu ni Time Bombing lilikuwa ni swala la mida tu! Usidhani kina Regina ni Wajinga kwenda Mahakamani na pia ukiona Mjane analia lia mitandaoni ujue kabisa keshaona mwelekeo wa kesi siyo mzuri upande wake! Haki yake atapata na wanae lakini siyo kama anavyotaka yeye NEVER!
 
Tatizo anashindana na watoto wakubwa anataka apate vyote yeye ndio awazidi wale wakubwa ndio nia yake

Na hapo ndio anafail vibaya sana! Kukosa Elimu napo ni kazi sana! Huku mitandaoni anataka kumbebesha lawama Shemeji yake wakati uhalisia anaujua fika kuwa anapambana na Regina na Abdiel! Hathubutu kuwagusa hao maana anajua moto wake! Btw si alitoa tangazo watu wasiguse mali za Mengi,mbona leo anakiri tena kuwa Regina ndio anacontrol kila kitu kilichoachwa! Wazazi tusomeshe watoto wetu hasa wa Kike! Shida ya kukosa Elimu hapa inaonekana!
 
Nyamizi,
Thank you...yani nilimshangaa mno
Unawezaje sema watoto hawastahili mali ya baba yao?. Aanze yeye awape mapacha Amorette tu aone...si wakipata vya mama inatosha hehe!!
Mkuki kwa nguruwe

anahaha
Ila ukimya ni adhabu kali sana anateseka mno
 
Mnaosema huyo mzee alijivunjia heshima kutoka na Jackie angetoka na mwanamke wa umri gani ambae angeweza kuzaa miaka 60?55?45?em jifikirieni yeye mwenyewe ni dhahiri alitaka watoto maana hakuona tumaini kwenye kizazi chake.Hivyo mlaumuni huyo mzee na siyo huyo binti

Hawa wa mke mdogo ndio watakuwa balaa si kwa kizazi chake tu hata kwa jamii nzima. Kama kweli huyo mwanaume alitaka kizazi cha maaana basi angetafuta mwanamke mwenye maadili mazuri tu. Lakini huyu Jezebel alikosea. Na afadhali amejifia maana angeona fedheha sana kwa hao watoto wa mke mdogo.
 
There you are...Zari na Jack sio league moja..zari ni smart sna sana
Zari alitaka ajiweke kwa kachalii ka Tandale, mond akawa mshamba, japo amekojolesha na na kuweka mbegu mbili.

Lkn zari alijua chalii anasaka hela ya mboga tu. Nadhan mume marehem wa zari hakuwa na mawe kama mzee marehem mengi. Definitely zari angemchubua mzee na mali ingekaa ya watoro. Imagine kama zari hana ndg wa ku control vyuo na biashara.

Jack wakati anasoma forodhani mimi nikiwa tambaza, nilidhani ni mjanja kumbe hana kitu. Alikuwa karembo kadogodogo, wakati huo tukiwa makonki tukifight kuzamia ugiliki. Mabaharia wengine walienda kufia italia.

Nilivyomaliza chuo marekani nikasikia anaimba, nikadhani amehamia kwenye music industry kumbe alikuwa anamshika mzee mbupu. Maana mzee hakuwa mtu wa kuhonga kimafia, mwanamke lazima asuguliwe. Sasa sidhan mzee kama alikuwa na uwezo huo.

Kiufupi, jack atulie kimya aache court iamue, ajitahidi watoto wasome mapema kwenye shule zenye hadhi wapate elimu Bora, ajitahidi wasome accounting education, sio makaratas, wasome wakikua waanze biashara. Wasiwe kama pupu, wakalia kuishi dubai, wazoee maisha ya biashara, anakazi kubwa kuwalea watoto waje kuwa wenyewe wasiishi na uleginald mengi, waishi wao kama wao.
 
Back
Top Bottom