Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

I second you. Watu tuliopo hizi field za Afya tuna siri kibao tu ndugu. Na tunajua ilikuaje siku anaondoka home na kwenda kuishi na huyu jacky.

Hakuondoka kwa ugomvi wowote huo ndo ukweli. Mzee alikua anafanya kila mtu. Hai wadada wa mjini almost wote aliwapitia. Watu tumekaa kimya tu.

Ishu ya wivu nashindwa ielewa kabisa. Hawa viumbe wanaitoa wapi? Aisee, kwenye maisha yangu wivu siutambui na nimeridhika na status yangu zaidi napambana niwe na zangu. Hela yako ya kuitafuta ni tamu sana. Hizi ambazo hata hujui zimepatikanaje sijui kama nimewahi kuwa na wivu nazo.

Hapa tunaumia kwakua tunapambana mno sisi kama wanawake. Unakubali kuwa na mwanaume ambaye financially hayuko poa kabisa mnapambana mchango mkubwa ukiwa wako halaf mnakuja fanikiwa. Siku nikatangulia mbele ya haki basi mwanamke mwingine anaibuka na kutaka hata lile jasho langu alichukue yeye apore wanangu. Sijui kama wanalifikiria hili mkuu.

Mengi aliondoka mwenyewe kwa uhuni wake mama wa watu asisingiziwe tafadhalu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye Red. Unaita Home Ulikuwepo???
 
Jack atashinda asubuhiii. Mengi angefariki bila 'will', huyu dada angepata 50% ya mali zote, na watoto wote kugawana iliyobaki. Lakini Mengi ameacha 'will'. Ni mali zake. Anaweza akaachia yeyote. Ndiyo maana ndugu wanaifuata njia finyu sana ya marehemu kutokuwa na akili alipoiandika. Njia nyingine ingekuwa kama mke aliyechuma naye yupo na hakupata kitu. Hapo 'will' ingebutuliwa na mahakama. Lakini hayupo na tunaambiwa alishapata 50% yake! Iwe Jackline alimpenda au hakumpenda mmewe si hoja. Sheria Tanzania na kote ulimwenguni iko kwake. Mengine tufurahie sinema tu.
Suala hapa ni kuhusu watoto wakubwa wa mengi vipi mgao wananufaika vipi, hizi porojo za jack Wala hazina mashiko, hata yeye anajua wazi lazima atafeli ndo maana analia public ili aonewe huruma lol, mbona wenzie wako kimyaaaaa khaaaaah poleeeeeeh yakeeeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma COMMENT ZA watu...ila sisi binadamu tunaroho za KUTU TENA KUTU HASWAAAA ,BI dada hakuwa side chick hilo lieleweke ,Bi dada hakumtongoza MENGI hilo pia lieleweke HAWA WALIKUWA WANANDOA.

Tunasahau kuwa Bi dada anawatoto na MENGI HIVYO IMEKUWA KWETU KUAMINI TU KUWA BI DADA AMEAMUA KUDHULUMU HAKI YA WATOTO WAKE KUTOKUENDELEA KUMUONA BABA YAO (tunaamini rahisi rahisi na tunatoa hukumu rahisi rahisi) kama MENGI ALIANDIKA WOSIA NA KAMA KILA MTU ALIPATA HAKI YAKE NA IKUMBUKWE MENGI ALISHATARAKIANA NA MKE WA KWANZA (maana yake baada ya TALAKA mali iligawanywa mlidhani Mengi ataacha kumlinda huyu BI DADA NA WATOTO WAKE MAPACHA) Hembu tufike hatua tuache kuleta hisia za kusema alimuua MENGI mara alifuata Mali kama alifuata Mali alijitongozesha?

je Mengi alimtongoza Bi dada akiwa mgonjwa? MAMBO YA MAHUSIANO TUYAACHE HATUJUI MENGI ALIPITIA NINI KWA MKE WAKE WA KWANZA NA KWA NINI ALIMFUATA HUYU MREMBO mambo mengine ni siri yake marehemu.TUSIWE WEPESI WA KUHUKUMU
Tuseme mfano Mtu ambaye haifahamu hii issue akiingia humu ndani anaweza kusema anayeongelewa ni sidechik/kamalaya kumbe ni mtu aliyeolewa na ana watoto.Watu wanaomsema sasa hivi hata wakati akiwa na Mengi wengi wao walikuwa wanamsema.

Mzee aliachana na mke wake longtime na hapo katikati kapita na wengi akaamua kutulia na bidada ilikuwa kosa. Cha msingi haki itendeke that's all chuki binafsi na wivu tuache jmn
 
Tuseme mfano Mtu ambaye haifahamu hii issue akiingia humu ndani anaweza kusema anayeongelewa ni sidechik/kamalaya kumbe ni mtu aliyeolewa na ana watoto.Watu wanaomsema sasa hivi hata wakati akiwa na Mengi wengi wao walikuwa wanamsema.Mzee aliachana na mke wake longtime na hapo katikati kapita na wengi akaamua kutulia na bidada ilikuwa kosa. Cha msingi haki itendeke that's all chuki binafsi na wivu tuache jmn
Watanzania asilimia kubwa tuna roho mbaya, chuki na wivu. Dahhh mungu atusaidie asee hizi roho mbaya zife.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Technology ni hatari!inatunza maandishi!
Tutarudi hapa!
Ngoja tuone mwisho
Jack atashinda asubuhiii. Mengi angefariki bila 'will', huyu dada angepata 50% ya mali zote, na watoto wote kugawana iliyobaki. Lakini Mengi ameacha 'will'. Ni mali zake. Anaweza akaachia yeyote. Ndiyo maana ndugu wanaifuata njia finyu sana ya marehemu kutokuwa na akili alipoiandika. Njia nyingine ingekuwa kama mke aliyechuma naye yupo na hakupata kitu. Hapo 'will' ingebutuliwa na mahakama. Lakini hayupo na tunaambiwa alishapata 50% yake! Iwe Jackline alimpenda au hakumpenda mmewe si hoja. Sheria Tanzania na kote ulimwenguni iko kwake. Mengine tufurahie sinema tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Dada!nashangaa wanaoshabikia upumbavu!
Ni kweli kabisa kabisa Wake wana uchungu kuliko ndugu hiyo ipo wazi, lakini Kyln hakua Mke

Mke mwenye uchungu tunamuongelea Mama Mercy Shangali (RIP)

pamoja na kutengena kwao yule mama alikua akisikia mzee Mengi anaumwa au ana tatizo alikua anamfata huko huko kwa wanawake zake kwenda kumsaidia

Naomba umtoe kyln kwenye Hesabu ya Mke wa mtu mwenye uchungu ( kyln alikua ni gold digger aka Mjasiliamali) ( amekaa kwenye ndoa Miaka 5 tu na babu mwenye miaka 77 utamuesabu huyo kama mke mwenye uchungu ?)wakati huo huo Mzee Mengi alikua na mke wake wa ujanani wa miaka 50+ , nani mwenye uchungu hapo wa Miaka 5 au wa Miaka 50?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sio mchaga lkn umeongea point!
Kuna MTU mmoja ameelezea jinsi mirathi zinavyokua,anasema huwa wanarudi nyuma kuangalua mpk mila na desturi za kabila husika! Sio kirahisi hivi wanavyofikiria watu hapa!

Yaani MTU katoka huko SBB ana target zake za mali eti miaka kadhaa azae aishi na baba angu( mfano) halafu upewe kila kitu?!! Thubutuu,not me!
Naunga mkono watt na familia ya Mengi wako sahihi na Mungu atawatetea tu huyu goldigger asilete habari zake! Atulie wamgawie sbb kuna watt
Duh nimesoma huo usia saiv hapa [emoji22] mengi amefanya utoto mtupu kwa mila za kwetu uchaga Mali zinabase kwenye ukoo sio mtu mmoja yani Dr mengi kachukua Mali za ukoo zote kaamisha kwa mwanamke mpita njia ukoo ubaki na historia tu!

Ngumu kumeza atakufa mtu, Mimi kama mchanga kwetu sisi mali zinaflow kutoka kizazi na kizazi mfano Mbowe ni tajiri lakini haimanishi kuwa mali zile alizitafuta mwenyewe from scratch (0) zipo mali alizo achiwa na kutokana na akili akaziendeleza na kuwa na zake nyingi faida ya hii ni kuufanya ukoo kuwa na nguvu, kusaidiana na kubebana ndio maana ukikuta kampuni own ni mchaga basi humo ndani utakuata ndugu wapo kwenye ngazi za uongozi hii ni kwasababu mali hiyo sio yake pekee yeye amepewa dhamana yakumiliki.

Ni kitendo cha aibu kutoa miliki ya ukoo kwenye mali amabazo source yake imetokana na baraka za wazee wako......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sio mchaga lkn umeongea point!
Kuna MTU mmoja ameelezea jinsi mirathi zinavyokua,anasema huwa wanarudi nyuma kuangalua mpk mila na desturi za kabila husika! Sio kirahisi hivi wanavyofikiria watu hapa!

Yaani MTU katoka huko SBB ana target zake za mali eti miaka kadhaa azae aishi na baba angu( mfano) halafu upewe kila kitu?!! Thubutuu,not me!
Naunga mkono watt na familia ya Mengi wako sahihi na Mungu atawatetea tu huyu goldigger asilete habari zake! Atulie wamgawie sbb kuna watt

Sent using Jamii Forums mobile app
hizo mali kajipa mwenyewe au mwenye mali zake kampa? huyo mwenye mali aliezitafuta kwa jasho lake miaka zaidi ya 50 kwa mapenzi na ridhaa yake mwenyewe ndio kaamua kumpa, sasa wewe unapingana na maamuzi ya mwenye mali? wabongo bana!
 
Hakuna cha kupenda ndugu hapa, mume akifa ndio ndugu mnaanza kujifanya mna uchungu sana. Hapo hadi sahivi imeshakula kwao, hadi wanaanza kuweweseka eti wanamuomba wayasuluhishe , hahaahaha...ndugu ni mapepo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watoto sio ndugu tu. Halafu hauwezi jua hao ndugu wameplay part ipi katika utajiri wa huyu mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jack hana washauri? Hajui kuwa hiyo mali wakina Regina wameweka nguvu zao mpaka yeye kuvutiwa nayo?
Hiyo ya kusema walishachukua ya mama yao haina nguvu na ni kutaka kushindana nao tu.
Ni ujinga kuwa na bilionea ushindwe kuwa na kikampuni hata cha kuuza karanga za 50 Tanzania nzima ukawa unasambaza.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kaenda kufungua kampuni ya fenicha, kochi moja milioni nane..... Pumbavu nani atanunua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mengi alikuwa na craving ya watoto. Imagine unazaa wanao watatu, mmoja anafariki, waliobaki wanafika 40s hata mjukuu hawakupi. Lazima uzae vitoto vingine vya kukufariji kwenye old age.
Hivi ina maana walikuwa hawatombani, maana mtu inakuwaje unafika umri huo hakuna hata mimba ya kubambikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah uyu demu anazingua eti niliitwa kwenye kikao cha familia ila hakwenda kwa sababu alikuwa naaumwa miguu [emoji23][emoji23][emoji23]
Me namshaur awaachie kina regina mali zao wakitaka kumgawia watampa wasipotaka pia aachane nao akomaee kivyake pesa atapataa tu
 
Mara moja moja uwe unafuatilia angalau documentaries za "investigation discovery" au "my little dirty secret" au "forensic files" Naamini utatoka kwenye hilo giza linalokuzingira...

mkuu, mtu unayejaribu kumuelewesha hajui hivi vitu muache kashazoea mambo ya uswahilini
tatizo letu watanzania hatutaki kubadilika bado tunaishi maisha ambayo wenzetu waliishi miaka zaidi ya 60 iliyopita

ndio maana kuna mwalimu wangu fulani alisisitiza definition ya development lazima iwe na maneno haya INDIVIDUAL,SOCIAL,POLITICAL na ECONOMIC


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Daaah uyu demu anazingua eti niliitwa kwenye kikao cha familia ila hakwenda kwa sababu alikuwa naaumwa miguu [emoji23][emoji23][emoji23]
Me namshaur awaachie kina regina mali zao wakitaka kumgawia watampa wasipotaka pia aachane nao akomaee kivyake pesa atapataa tu

🤣kwa hadhi yake anapanda ndege sasa miguu kuuma inahusiana vipi na kwenda kikaoni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
mnaomponda jack mnajifariji tu, kwa sisi wanasheria tunajua wosia wa mengi hakuna mahakama yoyote hapa duniani yenye uwezo wa kuutengua, uko sahihi na kisheria kwa 100%. hao ndugu zake sijui watapeleka ushahidi gani wa kudhibitisha mengi alichanganyikiwa. inatakiwa wapeleke ripoti ya daktari wa mengi kudhibitisha madai yao, labda wafoji, mwacheni jack ajimwambafy hakuna wakumdhulumu mali zake na watotn wake
Sawa hakuna mahali unaweza tenguliwa

Ushaambiwa mzee Ana 1% ya share .[emoji2]

Nenda kanywe soda sherehekea[emoji44]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Case hii k lyn ana nafasi kubwa sana ya kushinda.. ndio maana anakomaa iamuliwe na mahakama sio na vikao vya ndugu nje ya mahakama..

Hoja za mzee Mengi alichanganyikiwa.. itahitaji ripoti ya hospitali. Hapo ndipo patamu
Hata kama hakuna ripoti ya hospitali wosia wowote unaobagua watoto hua unabatishilsha hadi kwenye extent ya ule ubaguzi..kama ni bush lawyer itakua unajua hilo kwenye sheria za mirathi
 
Back
Top Bottom