Jacqueline Mengi: The richest woman in East Africa

Jacqueline Mengi: The richest woman in East Africa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama damange anamakaburi ya kusikitisha sana
Shida iko kwenye kuumia moyoni na kuanza kufukua makaburi wakati dunian kila mmoja ana makaburi.
 
Kile cha mzee ni bonite bottlers, Dar ndio Coca-Cola Kwanza
Coca cola kwanza is the best in east and central Africa,mitambo yake hata south Africa hakuna
Mzee aliingia kwenye uchimbaji wa dhahabu na mererani ana mgodi wa Tanzanite
Kuna kampuni ya kutafuta gesi swala plc,inauza hisa Lse na Nyse,hatari tupu
 
Kama ni hivyo mzee Alitisha sana
Labda hatuelewani
Bonite na coca cola kwanza vyote vyake,isipokua aliamua kumpa bonite mama watoto wake ili kuendesha maisha,akabak na coca cola kwanza
 
Inaripo website moja kutoka Zimbabwe, Inasemekama mzee Mengi kamuachia jack more than $560M

I love it!!

Story kamili follow link below

View attachment 1094795


Hii ni sawa na blog ya Madanja neither accountability no reliability
 
Back
Top Bottom