PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Hongera zake sana binti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida iko kwenye kuumia moyoni na kuanza kufukua makaburi wakati dunian kila mmoja ana makaburi.
Coca cola kwanza is the best in east and central Africa,mitambo yake hata south Africa hakuna
Mzee aliingia kwenye uchimbaji wa dhahabu na mererani ana mgodi wa Tanzanite
Kuna kampuni ya kutafuta gesi swala plc,inauza hisa Lse na Nyse,hatari tupu
Labda hatuelewaniKile cha mzee ni bonite bottlers, Dar ndio Coca-Cola Kwanza
Labda hatuelewani
Bonite na coca cola kwanza vyote vyake,isipokua aliamua kumpa bonite mama watoto wake ili kuendesha maisha,akabak na coca cola kwanza
560M usd au zimbabwe dollars?
[emoji23] [emoji1] [emoji23] [emoji23] freebasic!!!!
Yaani huyu bloger wa kinigeria ana taarifa zaidi ya watanzania??? Fake news
Hiyo ya Kinondoni sindio hatari kabisaHatari tupu kwanza tu hile nyumba yake hatari tupu yaan
Wamezimia wote, tusuburi waamke😂😂😂Vipi Machame huko wazimaa??!
[emoji23][emoji23][emoji23]Wamezimia wote, tusuburi waamke[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hivi umeandika ukitaka kusikia wanawake watasema nini?Wadada wa tz hawapendi kuona mwanamke mwenzao akifanikiwa tena mafanikio makubwa kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app
1,288,168,000,000Kibongo bongo ndio bei gani????
Inaripo website moja kutoka Zimbabwe, Inasemekama mzee Mengi kamuachia jack more than $560M
I love it!!
Story kamili follow link below
View attachment 1094795![]()
BREAKING : 75-Year Old Tanzanian Billionaire Dies & Leaves $560m For His 39-Year-Old wife
The richest man Tanzania, Reginald Mengi has been reported dead and the fortune he has left for his surviving wife who is said to be 39-years old, has stunned readers online. The business tycoon le…zimbabwehuchi.com