Jacqueline Msongozi: Mgao wa dawa hauendani na uhalisia, wananchi wanahangaika

Jacqueline Msongozi: Mgao wa dawa hauendani na uhalisia, wananchi wanahangaika

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mbunge wa Viti Maalum (Ruvuma) Jacqueline Ngonyani Msongozi amesema Dawa zinazoenda Kituo cha Afya cha Msindo sio sawa na uhalisia wa eneo na wananchi bado wanahangaika

Amesema mgao wa Dawa ni mdogo na haukidhi mahitaji. Naibu Waziri TAMISEMI, Festo Dugange, amesema Kituo kimekuwa kikipata Dawa kama Zahanati badala ya Kituo cha Afya kwasababu Halmashauri haikuwasilisha maombo husika
 
Hata wenyewe wanafahamu kuwa hazitoshi. Huo mgao ni wa kutimiza wajibu tu.
 
Back
Top Bottom