[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi mama umejiandaa lakini na mapovu ya ndugu wa Mengi wa mtandaoni?
Na ni social climberGold digger huyu atueleze kwanza vizuri tuelewe mzee Mengi alikufaje? Utata huo bado majibu halafu anatuletea mara mali zinaingiliwa mara kabiri. Mwambieni kuwa binadamu hatuujui mwisho wetu hivyo atulie sindano iingie taratibu. Na bado.
Watu mna data kushinda hata CIA kudadeki.Alisainishwa will iliyotengenezwa na kylin na wezi wenzie wakati yule Mzee anaumwa so alikua hajijui
Baada ya kumsainisha will fake wakaanza kuandaa mipango ya kumuondoa duniani na ndio zile cinema za baby I love you kwenye mitandao zikaanza ili akivuta ioenekane walikua na maaba Mzee Mengi na kylin kwa hiyo hasingeweza kumuua ionekane mzee amekufa kifo cha kawaida
HahahahaVitu kama hivi siku hizi havipo. Unakuta wazee wa siku hizi wanatambika wamevaa Kaunda suit na jeans mizimu ipi itakubali upuuzi kama huu? Tambiko ili likubalike na mizimu lazima mlifanye mkiwa uchi. Unafanya Tambiko huku unakula soseji, burger na pizza. Mizimu niyakuheshimiwa bana!
Huyu mwanamke mshenzi sana,ameiba mume wa mtu akamkaba koo hadi akafunga ndoa kwa lazma,akafanya mafyekeche mzee wa watu akaumwa,akaandaa wosia wa kinyama na kumfosi mzee asaini katika hali ya ugonjwa bila kujitambua na kuwanyima haki wanae wakubwa ambao wameshiriki kwa asilimia kubwa mafanikio ya kampuni za baba,mwisho wa siku anamdedisha kwa tamaa ya mali halafu anataka wachaga wamchekee tu? Kunguru kweli huyu malaya,isipokua mapacha wake hawana hatia kwa ufala wa mama yao!!Aliyewahi kuwa Mwanamuziki Nchini na ambaye ni mke wa Marehemu Regnald Mengi, Jacqueline Mengi maarufu kama K-Lyinn amedai kuzuiwa kuingia kwenye kaburi la mumewe, Reginald Mengi
Bila kusema ni nani anaowazungumzia, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter ameandika “Nimenyamaza kwa mengi sana tu. Mmefikia hatua ya kunizuia mimi na wanangu kuingia kwenye kaburi la mume wangu.”
Ameendela na kuandika “Tunafukuzwa eti mpaka tuombe ruhusa ya kuingia kwenye kaburi la mume na Baba wa watoto wangu. Nimechoka, sitakubali kuendelea kuona wanangu wakisononeka na sitakaa kimya.”
Reginald Mengi ambaye alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP alifariki dunia Mei 2, 2019 na kuacha mke (Jacqueline Mengi) na watoto wanne ambao ni Regina, Abdiel, Jayde na Ryan. Watoto hao amezaa na Mercy Mengi pamoja Jackline Mengi
View attachment 1365926
BAADHI YA MAONI YA WADAU:
View attachment 1365927
View attachment 1365928
View attachment 1365929
View attachment 1365930
View attachment 1365931
View attachment 1365932
I keep thinking kwamba labda baharia Rodney Mutie angekuwepo angeweza kuisaidia hii familia isijiadhiri hivi.
Tatizo kaondoka kabla hata ya baba yake.
RIP Rodney.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kutengwa na familia ni jambo la kawaida kwa mjane hapa bongo. Tena kama mjane alikuwa mke wa pili na alikuta marehemu ana mali na yeye alichoongezea kwenye hizo mali ni negligible. Lazima aisome namba. Hii kesi ni ya pili kuisikia ya kwanza ni kitaa. Tena hapa kitaa ilikuwa familia ya kawaida tu. Mjane aliambiwa na ndugu huku kitaa aondoke awaachie watoto wakubwa wa marehemu nyumba sababu ameikuta. bahati mjane wa kitaa alikuwa na uhusiano mzuri na watoto wakubwa wa marehemu wakamtetea.Kyline kila akiongea anawatumia watoto kama ngao. Anatuaminisha familia inawatenga wote.
Hivi inawezekanaje yeye kama mke halali wa marehemu familia nzima imtenge, iwe karibu na watoto wa mke wa zamani?
Akubali tu kukaa mezani, aachane na mambo ya mahakamani, mbona mali za kugawana ni nyingi kuliko kugombana?
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mwanamke mshenzi sana,ameiba mume wa mtu akamkaba koo hadi akafunga ndoa kwa lazma,akafanya mafyekeche mzee wa watu akaumwa,akaandaa wosia wa kinyama na kumfosi mzee asaini katika hali ya ugonjwa bila kujitambua na kuwanyima haki wanae wakubwa ambao wameshiriki kwa asilimia kubwa mafanikio ya kampuni za baba,mwisho wa siku anamdedisha kwa tamaa ya mali halafu anataka wachaga wamchekee tu? Kunguru kweli huyu malaya,isipokua mapacha wake hawana hatia kwa ufala wa mama yao!!
Wanawake mali chuma ma mumeo, wapenda mtelezo ndio haya
Matoto ya marehemi yooote yamesoma, balaa tupu
Alisainishwa will iliyotengenezwa na kylin na wezi wenzie wakati yule Mzee anaumwa so alikua hajijui
Baada ya kumsainisha will fake wakaanza kuandaa mipango ya kumuondoa duniani na ndio zile cinema za baby I love you kwenye mitandao zikaanza ili akivuta ioenekane walikua na maaba Mzee Mengi na kylin kwa hiyo hasingeweza kumuua ionekane mzee amekufa kifo cha kawaida
Ndugu tukana weee; mimi hata sitokujibu wala kuwa affected. Kunywa maji; relax
Kwanini wewe usiende mahakamani kuisaidia familia? Hahaha
Kwanini wewe usiende mahakamani kuisaidia familia? Hahaha
pendomamtefu, Huyo heaven sent ni dangaji linalojua kuuunga maneno ya kiingereza basi anajiona anajua kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa mgao tutaouonea kwenye social media tu teh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba mali za mengi ni za kabila zima na wachaga wa kujitolea. Wakipata mgao wasitusahau jamani.
Iv Jackline akibaki na biashara yake ya Amorette na kuwaachia akina Abdiel mali za IPP atapungukiwa na nini??....Tatizo ana tamaa na mali ambazo hakuvuna! Anasingizia eti anapigania haki za watoto wake. Hakika watoto wakubwa wa Mengi hawawezi dhulum wadogo zao!
Sent using Jamii Forums mobile app
"Anayekuchekea ndio anayekuwekea sumu"Mbona Mengi alimfurahia sana Jack na kusema toka awe nae Ana furaha sana
Sent using Jamii Forums mobile app