Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Alisainishwa will iliyotengenezwa na kylin na wezi wenzie wakati yule Mzee anaumwa so alikua hajijui

Baada ya kumsainisha will fake wakaanza kuandaa mipango ya kumuondoa duniani na ndio zile cinema za baby I love you kwenye mitandao zikaanza ili akivuta ioenekane walikua na maaba Mzee Mengi na kylin kwa hiyo hasingeweza kumuua ionekane mzee amekufa kifo cha kawaida
Watu mna data kushinda hata CIA kudadeki.
 
Vitu kama hivi siku hizi havipo. Unakuta wazee wa siku hizi wanatambika wamevaa Kaunda suit na jeans mizimu ipi itakubali upuuzi kama huu? Tambiko ili likubalike na mizimu lazima mlifanye mkiwa uchi. Unafanya Tambiko huku unakula soseji, burger na pizza. Mizimu niyakuheshimiwa bana!
Hahahaha
 
Aliyewahi kuwa Mwanamuziki Nchini na ambaye ni mke wa Marehemu Regnald Mengi, Jacqueline Mengi maarufu kama K-Lyinn amedai kuzuiwa kuingia kwenye kaburi la mumewe, Reginald Mengi

Bila kusema ni nani anaowazungumzia, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter ameandika “Nimenyamaza kwa mengi sana tu. Mmefikia hatua ya kunizuia mimi na wanangu kuingia kwenye kaburi la mume wangu.”

Ameendela na kuandika “Tunafukuzwa eti mpaka tuombe ruhusa ya kuingia kwenye kaburi la mume na Baba wa watoto wangu. Nimechoka, sitakubali kuendelea kuona wanangu wakisononeka na sitakaa kimya.”

Reginald Mengi ambaye alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP alifariki dunia Mei 2, 2019 na kuacha mke (Jacqueline Mengi) na watoto wanne ambao ni Regina, Abdiel, Jayde na Ryan. Watoto hao amezaa na Mercy Mengi pamoja Jackline Mengi

View attachment 1365926

BAADHI YA MAONI YA WADAU:

View attachment 1365927
View attachment 1365928
View attachment 1365929
View attachment 1365930
View attachment 1365931
View attachment 1365932
Huyu mwanamke mshenzi sana,ameiba mume wa mtu akamkaba koo hadi akafunga ndoa kwa lazma,akafanya mafyekeche mzee wa watu akaumwa,akaandaa wosia wa kinyama na kumfosi mzee asaini katika hali ya ugonjwa bila kujitambua na kuwanyima haki wanae wakubwa ambao wameshiriki kwa asilimia kubwa mafanikio ya kampuni za baba,mwisho wa siku anamdedisha kwa tamaa ya mali halafu anataka wachaga wamchekee tu? Kunguru kweli huyu malaya,isipokua mapacha wake hawana hatia kwa ufala wa mama yao!!
 
Nadhani Mzee Mengi anahusika na haya matatizo yote, samahani japo hayupo kwa sasa. Whether aligawa mali kwa influence ya mkewe, kwa utashi binafsi au kupitia kwa wakili, huenda hakuwa fair kwa watoto wakubwa(power of love ilihusika hapa).

Nina uhakika haya matatizo yameibuka coz there was no fair share katika mgawanyo wa hizo mali, ambazo pia hao wakubwa walistahili kupata. Sasa katika kutaka kumuumiza huyu dada, wanatafuta means zozote wamuumize.

Jackie deserves, her twins deserve but the older brother n sister deserve too. Otherwise hizo mali zitapotea zote na hakuna wa kuzifaidi hapo. Busara itumike na huyu mama aachane na social media kuraise matatizo yake, zipo njia nzuri zaidi za kufanya hivyo.
 
Kyline kila akiongea anawatumia watoto kama ngao. Anatuaminisha familia inawatenga wote.

Hivi inawezekanaje yeye kama mke halali wa marehemu familia nzima imtenge, iwe karibu na watoto wa mke wa zamani?

Akubali tu kukaa mezani, aachane na mambo ya mahakamani, mbona mali za kugawana ni nyingi kuliko kugombana?

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kutengwa na familia ni jambo la kawaida kwa mjane hapa bongo. Tena kama mjane alikuwa mke wa pili na alikuta marehemu ana mali na yeye alichoongezea kwenye hizo mali ni negligible. Lazima aisome namba. Hii kesi ni ya pili kuisikia ya kwanza ni kitaa. Tena hapa kitaa ilikuwa familia ya kawaida tu. Mjane aliambiwa na ndugu huku kitaa aondoke awaachie watoto wakubwa wa marehemu nyumba sababu ameikuta. bahati mjane wa kitaa alikuwa na uhusiano mzuri na watoto wakubwa wa marehemu wakamtetea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mwanamke mshenzi sana,ameiba mume wa mtu akamkaba koo hadi akafunga ndoa kwa lazma,akafanya mafyekeche mzee wa watu akaumwa,akaandaa wosia wa kinyama na kumfosi mzee asaini katika hali ya ugonjwa bila kujitambua na kuwanyima haki wanae wakubwa ambao wameshiriki kwa asilimia kubwa mafanikio ya kampuni za baba,mwisho wa siku anamdedisha kwa tamaa ya mali halafu anataka wachaga wamchekee tu? Kunguru kweli huyu malaya,isipokua mapacha wake hawana hatia kwa ufala wa mama yao!!

Mbona Mengi alimfurahia sana Jack na kusema toka awe nae Ana furaha sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alisainishwa will iliyotengenezwa na kylin na wezi wenzie wakati yule Mzee anaumwa so alikua hajijui

Baada ya kumsainisha will fake wakaanza kuandaa mipango ya kumuondoa duniani na ndio zile cinema za baby I love you kwenye mitandao zikaanza ili akivuta ioenekane walikua na maaba Mzee Mengi na kylin kwa hiyo hasingeweza kumuua ionekane mzee amekufa kifo cha kawaida

Kwanini wewe usiende mahakamani kuisaidia familia? Hahaha
 
Kwanini wewe usiende mahakamani kuisaidia familia? Hahaha

Kwa kweli ndugu Bashite huyo unaemtetea natamani angefunguliwa murder case niende kusaidia jamuhuri kufanya upelelezi na kuwapa njia za kumkamata

Ningewapeleka mpaka kwa waganga zake walietumika kupumbaza watu ili kylin hasishtakiwe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba mali za mengi ni za kabila zima na wachaga wa kujitolea. Wakipata mgao wasitusahau jamani.
Hahaa mgao tutaouonea kwenye social media tu teh
 
Iv Jackline akibaki na biashara yake ya Amorette na kuwaachia akina Abdiel mali za IPP atapungukiwa na nini??....Tatizo ana tamaa na mali ambazo hakuvuna! Anasingizia eti anapigania haki za watoto wake. Hakika watoto wakubwa wa Mengi hawawezi dhulum wadogo zao!


Sent using Jamii Forums mobile app

Mali ni za marehemu aliyegawa ni marehemu wala hakuna ushahidi wa kulazimishwa
 
Suluhisho hapa,ni mali zirudi kwa watoto tu...wazazi(watu wazima) wawe wasimamizi tu;nadhani wakikaa kiukoo/familia tatizo litaisha
 
Back
Top Bottom