Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Acha ukabila wewe pimbi wa kihaya,nenda kamtetee rugemalila mwizi wa pesa za escrow,huyo muhaya mwenzako hata aje na wanasheria wote wahaya hashindi hii kesi,jizi la mali za mengi limebaki kuropoka tu kua anaonewa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu unatumia nguvu nyingi sana muda utaongea tuombe uhai... familia ya Mengi hawana grounds za kushinda hii case na hakuna sehemu wamesema wosia umeghushiwa bali wanapinga wao kupewa walicho pewa!

Mengi alishagawa mali kabla hajafa hakuna wa kubadilisha na hakuna atakaye mkomoa mwenzie kwenye hili na hatoshinda case!
 
Mkuu unatumia nguvu nyingi sana muda utaongea tuombe uhai... familia ya Mengi hawana grounds za kushinda hii case na hakuna sehemu wamesema wosia umeghushiwa bali wanapinga wao kupewa walicho pewa!

Mengi alishagawa mali kabla hajafa hakuna wa kubadilisha na hakuna atakaye mkomoa mwenzie kwenye hili na hatoshinda case!
Tofautisha wosia kuandikwa na Mengi na kusainiwa na Mengi...
 
Mkuu unatumia nguvu nyingi sana muda utaongea tuombe uhai... familia ya Mengi hawana grounds za kushinda hii case na hakuna sehemu wamesema wosia umeghushiwa bali wanapinga wao kupewa walicho pewa!

Mengi alishagawa mali kabla hajafa hakuna wa kubadilisha na hakuna atakaye mkomoa mwenzie kwenye hili na hatoshinda case!
Na ground waliyonayo ni kuthibitisha kuwa Mzee wakati anaandika wosia alikuwa ana matatizo ya akili au hakuwa timamu. Sasa jinsi ya kuthibitisha, Hapo patamu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
joseph1989,

Angefungua hata kiwanda cha Toilet paper angetoka Kimaisha

Alipewa billions of money mtaji, akaishia kula bata na wakina Nancy sumari hakufungua business ya maana

Wakina Nancy wamejenga kwa hela za Mengi
Nasikia Nancy life lilimchapa balaa, ndo huyo Jaq akawa anawasitiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jack awe na huruma haijalishi karithishwa au hajarithishwa km kweli anaamini kuna kufa na siku ya mwisho ipo basi aache tamaa aogope Mungu jamani Mali za mengi ni nyingi mnooo!anajipa mtihani tu was kiulimwengu na kwa Mungu!!aache tamaa za kutaka kuweka historia ya kua billionea was kwanza mwanamke bongo (na hichi ndo kinachomfurukuta )mpk anakua na tamaa hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaodai mali ni watoto wa Mengi ndugu yangu, sio ndugu!.. Mengi ana watoto 4, watoto wawili wakubwa ni wa mke mkubwa na watoto wawili wadogo ni wa mke mdogo.. Waliokuwa wanasimamia mali za marehemu mfano ITV, Kiwanda cha soda (bonite) nk, ni watoto wakubwa!.. Sasa changamoto inakuja baada ya mengi kufariki wosia umetoka hao watoto wakubwa waliokuwa wanasimamia mali za baba yao hawatakiwi kupewa chochote, mali zote unazozijua za Mengi wamepewa watoto wadogo na mke mdogo wa Mengi, kibaya zaidi wosia unasema hata wakienda mahakamani na kushinda kesi, watalipwa sh 1000... Sasa swali ninalotaka kukuuliza ni hili!.. Wewe ungekuwa miongoni mwa wale watoto wakubwa wa mengi ambao mpaka sasa ndio wanaosimamia sehemu kubwa ya mali ya baba yao ungekubali kuondoka na kwenda kuanza maisha upya huku ukiwa masikini huna chochote.. Kumbuka kuwa hao watoto wakubwa wa Mengi hawana nia ya kuchukua mali yote, wao wanataka mali ya baba yao igawanywe kwa watoto wote yaani wao na wale wadogo.. Hata kaka yake Mengi alihojiwa akasema wao kama ndugu wa damu wa Mengi hawataki mali yoyote ila wanataka na watoto wa mke mkubwa wapewe urithi!.. Tatizo mke mdogo hataki watoto wakubwa wapate chochote isipokuwa wale wadogo wa kwake tu!. Kumbuka watoto wadogo wa Mengi ni wadogo sana (kati ya miaka 6), hiyo inamaanisha mali zoooote za mzee zitakuwa za mke mdogo mpaka watoto wake watakapokuwa!.. Sasa wewe huwezi kujiuliza kama huyu mkr mdogo angekubali hawa watoto wakubwa nao wapate chochote angepata hasara gani?.. Wanawake mnapoolewa pendeni watoto wote wa mme, sio kupenda wa kwako tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni usia wa mengi kwenye share zake!!!...
 
yaani sijui alimrubuni vipi hadi yule mzee akawanyima kabisa urithi watoto wake halali wa ndoa, hii haikubaliki hata kisheria, wale watoto walimkosea nini kibaya baba yao hadi awafanyie ukatili kama huo? Alitakiwa ale na watoto wengine wa marehemu, ila yeye kataka achukue vyote? Ule wosia ni batili hata kikatiba!
Mjini Kuna mtandao wa Madada fulani
Wao wakitka wamuweke dem mkali ili awe na mtu maarufu na mwenye pesa hawashindwi, ila mwanaume utanasa kama ukiwa kipangaaa
Tena mmoja wao ni former miss wilaya fulani!!!

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama amefoji wosia basi watakwenda kuthibitishia mahakama maana kusema tuu hakutoshi bali kuthibitisha pasi shaka!

Nikuhakikishie ni vigumu familia ya Mengi kushinda hii case hata kwa dawa!

Kuna sehemu nimelisema hili mwanzoni mwa huu uzi.. watu wakanipinga... k lyn ana mafasi kubwa sana kushinda hii case
 
1.Pesa
2.pesa
3.pesa

Katika ukurasa wake wa Twitter, ameandika hivi;


Jacquiline Ni Mwanamuziki , mfanyabiashara na aliwahi kushinda taji la malkia wa Urembo nchini Tanzania (2000).

Ni Mwanzilishi wa kampuni ya samani ilioshinda tuzo Amorette Ltd .

Babake alitoka kutoka eneo la Kigoma akiwa daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake huku mamake akiwa nesi.

Alisomea elimu yake ya msingi katika shule ya bweni ya Nyakahoja Primary mjini Mwanza kabla ya kuelekea mjini Dar es Salaam ambapo aliendelea na elimu yake ya msingi katika shule ya Forodhani.

Jackline ni msichana wa mwisho katika familia ya watoto watatu wa kike

Katika utoto wake alikuwa msichana mwenye haya jingi lakini alipendelea sana kusoma vitabu

Muziki
Alianza usanii 1997 akishirikiana na bendi ya Tanzania kwa jina the Tanzanites.

Aliimba kama mmojawapo wa viongozi kwa miaka mitatu.

Mnamo mwaka 2004 alitoa kibao chake 'Nalia kwa Furaha'. akimshirikisha Bushoke

Mwaka 2007 alitoa albamu nyengine kwa jina 'Crazy over You' akimshirikisha Squeezer ambacho kilikuwa kibao cha kwanza cha albamu yake mpya.

Pia aliimba 'Nipe Mkono' akimshirikisha Mr Blue

Anasema kwamba umaarufu wake ulianza alipoanza kuimba

Kulingana na mjasiriamli huyo muziki ndio uliokuwa ndoto yake kubwa akiwa mtoto .

Alitizama kanda za video za wanamuziki tajika kama vile Mariah Carey na Whitney Houston ili kujifunza kuimba

Malkia wa urembo
2000 Alichaguliwa malkia wa Urembo nchini Tanzania baada ya kushinda taji la malkia wa urembo la miss Ilala.

Alitumikia taji la miss Tanzania kwa mwaka mmoja akizishughulikia jamii mbalimbali

Katika kushiriki katika shindano hilo alishawishiwa na mmoja wa waandalizi wa shindano hilo kujaribu bahati yake.

Katika shindano la dunia lililofanyika nchini Uingereza , alikutana na watu tofauti waliokuwa na malengo tofauti ambapo anadai kujifunza mambo mengi tofauti

Tuzo alizoshinda
2007: Alishinda tuzo ya mwanamuziki bora wa kike pamoja Tanzania na kolabo bora kupitia wimbo wake Crazy over you

2007: Alishinda tuzo ya Mwanamuziki bora kutoka Pearl Music Award

2008: Alishinda tuzo nyengine ya mwanamuziki bora wa Tanzania

2008: Alipata tuzo ya Mwanamuziki bora wa kike Tanzania kutoka Pearl Music Awards

2013: Alishinda taji la mwanamke mwenye mitindo bora katika tuzo za fesheni za Swahili

2017: Alijishindia tuzo ya shaba ya kimatifa kwa jina, Sayari amp,

2017: Alijishindia tuzo nyengine ya shaba katika orodha ya samani kwa jina Ngorongoro settee,

Ndoa
Mwaka 2015 alifunga ndoa na Bilionea wa Tanzania Reginald Mengi, na wamejaliwa watoto wawili wavulana .

Marehemu mumewe alikuwa mwenyekiti wa makampuni ya IPP nchini Tanzania

Zaidi, soma: TANZIA: Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UA

2). Umoja wa Chama cha Wajane Wamtembelea Bi Jackline Mengi
ahsante kwa historia fupi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom