Jacqueline Wolper anatamani kumpa penzi Rais

Mneno mujarab kabisa hayo
 
Umalaya ukikolea tabu yake ndio hii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Aende kwa mfalme Mswati awe Mke wa 37 na bado kila mwaka anaongeza mpya, labda atatulia
 
Akili kidogo hufikiria kidogo.... Ugwadu mbaya sana huwa unafanya mtu kuwa stressed.. huu ni wehu si akili za kawaida!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah kiufupi hana sifa, sometimes mwanamke akiwa na kichwa tulivu huwa inakuwaga advantage sana kwake kupata mema ya nchi!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo naona hamjamuelewa mwenzenu hata hana target na Jiwe. Yeye target yake ni rais wa nchi jirani ndio anamtaka.. nmesikia kashaweka ukaribu na familia ya presdaa hadi kumvalisha na kumdesignia nguo first lady..hana mpango na jiwe kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…