Jada Smith akubali yeye ni mraibu wa ngono

Akafie mbal huko na kansa yake😄
 
Damn man, wanakati anamfukuzia huyo demu , her love ni tupac, will smith probably forced. Na haya ndio matokeo, huyo manz hakuwahi mpenda jamaa.

But uko right will anaogopa kupoteza mali zake, but probably he knows the truth
 
Duuh!! Hawa viumbe sijui wanatakaga nini? 🤔🤔
 
Kuna mkurya mmoja alimfumania mke wake wala hakumpiga, akachukua ukuni wa moto akaudumbukiza Kumani, ukapoa kama uko kwenye maji (shsssssa). akamruhusu aondoke.

Yule mwanamke sijui alipona
Mama Ghaati rara chini nikureenge
 
Safi kabisa mwanamke anae ongea ukweli wa mambo.
 
Hahaha Kitu si kitakua mnato sana we mbantu? I cant imagine.

Anyway chino ana ku miss sana tajiri wa roho
 
Uzi huu ni kielelezo kwamba Watanzania wengi wa JF ni wepesi sana kurukia kujadili jambo bila ya kujiridhisha kama ni la kweli.

Nimeomba chanzo cha habari hii, mpaka sasa sijakiona.
 
Kwa style hio lazma u survive mda mrefu🤣 japo upwiru lazma ukabe koo mara kwa mara! Mwanamke anaweza himili kama hapati external push. I believe mnaweza kuvumilia muda mrefu kama hakuna mtu anachokonoa mtambo wa hisia zako.😁
Mwamba usiamini stori za uongo.

4 up to 5 years seriously!!!!
 
Usifrikiri Will Smith ni mjinga,ameshasoma huyu mwanamke anachotaka ni nini,hapo anapigia hesabu utajiri wa Will Smith atakapoamua waachane,na hilo Will ameshalijua kwahiyo anaendelea kuvumilia yote hayo ili asije kufilisiwa kama Tyresse na wengine wengi.Kwanza jiulize kwa uzuri upi alionao Jada wa kumpelekesha Will kiasi kiasi hicho...
 
Kama ni kweli ayasemayo huyu mrembo Bantu Lady , basi yeye na mrembo Jadda wa jf ni ndege wafananao, I guess. 😎

-Kaveli-

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Anadai yeye hapendi mkuyenge ila wakufunzi wa Cuba tunaelewa code

Kumuelewa mwanamke inahitaji ubobevu wa kimataifa.

Mara nyingi mwanamke huwa hamaanishi anachomaanisha.

Saikolojia yao huwa inasoma 'loading...' muda wote. 😎

-Kaveli-
Duuh kwahiyo Jada kusema anapenda ngono mmemuamini na ndio anamaanisha anachokisema, ila Mimi kusema sipendi ngono ndio mambo ya saikolojia yameingia kwamba mwanamke huwa hamaanishi anachokisema, yani hamueleweki hata mnachosimamia ninyi semeni tu kuwa mnataka kusikia yale yanayowafurahisha tu
 
Kwa wale tuliosoma Cuba tayari tumeshaelewa kuwa huyu demu anachofanya hapo ni kumzingua mwamba ili wapeane talaka wagawane mali. Wanawake wa kizazi hiki target yao ni mali sababu wengi wao wana asili ya umasikini wa damu.

Kama hampendi jamaa basi aondoke akatombwe na hao madogo anaowapa attention. Why sasa yupo na mwamba muda wote kamganda mbwa huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…