Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,108
- 4,751
yes jada alikuwa kwenye mahusiano ya kisagaji na kale kademu keupe cha kwenye sitcom ya MARTIN kaitwacho Tisha campbell dada yake na yule mwanamuziki shoga aliye hit miaka ile aitwaye Tevin Campbell na ndo chanzo cha Martin kumpiga Tisha ukawa mwisho wa vichekesho hivyo sbaabu Martin alikuwa anampenda sana huyo demu na walikuwa wapenzi kabla Jada hajaanza kumsaga,kuhusu will smith kuwa shoga wanasema hata mke wa kwanza wa jamaa alimkuta kitandani anapumuliwa
Tevin na Tisha Campbell sio ndugu