Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,108
- 4,751
yes jada alikuwa kwenye mahusiano ya kisagaji na kale kademu keupe cha kwenye sitcom ya MARTIN kaitwacho Tisha campbell dada yake na yule mwanamuziki shoga aliye hit miaka ile aitwaye Tevin Campbell na ndo chanzo cha Martin kumpiga Tisha ukawa mwisho wa vichekesho hivyo sbaabu Martin alikuwa anampenda sana huyo demu na walikuwa wapenzi kabla Jada hajaanza kumsaga,kuhusu will smith kuwa shoga wanasema hata mke wa kwanza wa jamaa alimkuta kitandani anapumuliwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....ila mi sitaki asee!
Sitajisika vizuri
Mama yake ndio alikuwa wanapractice na Queen latifa siiiince....Ila kuna fununu hata baba na mama walikuwa ama wana practice mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja, naona watoto wamefuata nyayo tu tena kwa baraka za wazazi..
yule alimfuma Will anapumuliwa na njemba ,Will akazuga kwamba alikuwa in love na Jada,ukweli ni kwamba Jada ni msagaji,kesha date watu kama Tisha campbell, Queen latifah so Will kwa Jada anakuwa kama BEARD wanazuga tu thats why wanasema wapo kwenye open relationship,wale wote ma bisexuals tu
kesho nitapost uzi hapa kuhusu ushoga hollywood na huyo jamaa yako will ndani,saa hii nimechoka nacheki movie tuMama yake ndio alikuwa wanapractice na Queen latifa siiiince....
Ila baba ambaye ni Will Smith sijawahi kusikia hilo.
Mimi ninachosema ni kwamba:-kesho nitapost uzi hapa kuhusu ushoga hollywood na huyo jamaa yako will ndani,saa hii nimechoka nacheki movie tu
Kwenye kuwapa watoto majina waiteni kwa majina yaliokua mazur mazur.Inategemea ile ipo kwenye kizazi mfano alierithi jina la babu, bibi , shangazi n.k
Haiwezekani jirani apende jina lako labda sababu lipo unique au sababu nyingine basi tabia zako ziende kwa huyo mtoto la sivyo wakina john , sarah, au kikundi flan cha jina flan kingekua na tabia moja.
Yaani mtu hamchangii hata undugu wa mbali wakarithi tabia za mtoto wa smith twin usinichekeshe🤣🤣🤣🤣
Pengine ni ngangaripoaBaba mtoto hapana.
Miezi minne au mitatu nyuma kuna mwanaume alimkimbilia na kumbusu akampiga. Baadaye ikabidi aombe msamaha kwa jamii ya LGBT kwakua alimpiga mwenzao.
Kwenye kuwapa watoto majina waiteni kwa majina yaliokua mazur mazur.
Hakika ya majina yanasibu nasema hya kwa kushuhudia.
Majina kma hayo yako wazi tu kua ni mazuri ila shida ni tabia za hao watu.Najua ila sio kwa situation ya hichi kitoto.
Yaani jaden Smith akiwa shoga watoto wote wenye majina ya jaden au jayden watakua mashoga?
Ninachokijua mtoto akirithi jina la kwenye ukoo wako au wa baba ndiyo inaweza kuwa shida ikiwa hamtovunja laana kwa maombi!!
James delicious, hamis ‘b12’ harris ni mashoga hawa so wenye majina kama haya wana tatizo?
Laanatullah! Hakuna cha natural wala nini huo ni ushetaniTHEN YOU CAN SEE IT IS NATURAL TO BE GAY.
Anapigwa kipara huyo..We jamaa nisha anza kukushuku"
Hapo nimekupata MkuuMajina kma hayo yako wazi tu kua ni mazuri ila shida ni tabia za hao watu.
Ila haya majina kma majuto,sikudhani n.k.
Hyo majina sio mazuri.
Hhhhh hta mim shule nilisoma na mmoja mwanamke akiitwa majuto.Hapo nimekupata Mkuu
Umenikumbusha kuna familia tulikua nayo jirani mtoto wa kwanza majuto wa pili matatizo tulikua tunamkatisha tunamuita tizo lol huyu tizo mpaka leo haeleweki.
Ww jamaa hata hao wanaokupakua wana matatizo sanaRAHA SANA.
WASIOPENDA USHOGA WATAJINYONGA LEO.
Hahahaa
Witnessj unatemea shoga atashauri vp zaidi ya kutetea wanaume waendelee kutafunanaNakubaliana na wewe....sasa unashaurije mkuu ili hili wingu liweze kupungua au kama sio kuisha?
HAYO NI MAONI YAKO.Laanatullah! Hakuna cha natural wala nini huo ni ushetani
ULITAKA NISEMEJE?Witnessj unatemea shoga atashauri vp zaidi ya kutetea wanaume waendelee kutafunana