Jaffar Haniu na Gerson Msigwa, kubalianeni nani wa kutoa Habari za Rais. Mnatuchosha na kutuboa tu

Jaffar Haniu na Gerson Msigwa, kubalianeni nani wa kutoa Habari za Rais. Mnatuchosha na kutuboa tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani ukifungua Ukurusa wa Haniu unaikuta Habari hiyo hiyo ambayo Msigwa nae ameiweka kitu ambacho nadhani kungekuwa na Utaratibu mzuri tu wa Kiutendaji basi Jukumu hilo angekuwa analifanya Mtu Mmoja pekee.

Nadhani (Ushauri wangu Binafsi) hiki Cheo cha Ukurugenzi wa Ikulu kingeongezewa pia na Jukumu la kuwa Msemaji wa Serikali na hiyo Idara ya MAELEZO nayo ingekuwa chini yake pia.

Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE natafuta 'Logic behind' Kuzitenganisha hizi Nafasi za Jaffar Haniu wa Ikulu na Gerson Msigwa wa MAELEZO sijaipata ila ninachokiona tu sasa ni kama vile Gerson Msigwa ' wants to outshine ' Jaffar Haniu wa Ikulu ili Yeye ( Msigwa ) aendelee kuwa ' Masikioni ' mwa Watanzania wakati Kiuhalisia muda wake wa Kusikika ulihitimika rasmi tarehe 17 Machi, 2021.

Na Wewe ' Brother ' Jaffar Haniu wa Ikulu anza ' Kuchangamka ' sasa kwani tunaokujua tokea ukiwa TBC na AMG tunajua ' you're very far Professionally ' kuliko huyo Gerson Msigwa anayejitutumua na kuwa na ' Kiherehere ' mno katika Awamu hii ya Mama ( Rais ) kuliko ile ya aliyekuwa akimpenda na akimbeba ya Mwendazake (Hayati) wa Chato.

Na msipoangalia 'mtarogana' ile mbaya.
 
Vitu vingine ni kujichosha tu.

Kwahiyo na wewe ukiichukua hiyo press release ukaishare kwenye page zako utamoutshine Haniu?

Mimi nadhani muhimu ni nani anasaini.

Msigwa bado ana hangover ya Ikulu, ni kumvumilia tu atazoea maisha nje ya ikulu maana yamekuja ghafla. Hakutegemea.
 
Vitu vingine ni kujichosha tu.

Kwahiyo na wewe ukiichukua hiyo press release ukaishare kwenye page zako utamoutshine Haniu?

Mimi nadhani muhimu ni nani anasaini.

Msigwa bado ana hangover ya Ikulu, ni kumvumilia tu atazoea maisha nje ya ikulu maana yamekuja ghafla. Hakutegemea.
Huna IQ ya Kuelewa usinipotezee muda.
 
Vitu vingine ni kujichosha tu.

Kwahiyo na wewe ukiichukua hiyo press release ukaishare kwenye page zako utamoutshine Haniu?

Mimi nadhani muhimu ni nani anasaini.

Msigwa bado ana hangover ya Ikulu, ni kumvumilia tu atazoea maisha nje ya ikulu maana yamekuja ghafla. Hakutegemea.
Msigwa anataka kumkwamisha mama.
 
Mkuu tatizo lako ni MTU ama nini maana habari za Rais haziwezi milikiwa na mtu mmoja tu.

Kwa mfano huwezi wakataza ITV wasitangaze habari za serikali kwakua TBC ndio chombo Cha serikali.

Rais ni Kiongozi wa Nchi na Serikali hivyo iwe haniu au Msigwa wote wana haki hiyo ya kutoa habari zake.

Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu ndio ipo karibu zaidi na Rais Ila hicho hakiwezi kuwa kigezo pekee Cha kumnyima msemaji mkuu wa serikali kutoa habari za mkuu wa mhimili huo.
 
Kule FB gerson bado kajiandika DPC wakati hayupo ofisi.


Kule usemaji wa serikali msigwa hapawezi, hana uwezo wa kuitetea 10 + 11=111.

Huo uwezo hana, namjua vzr
 
Msigwa bado ana hangover ya Ikulu, ni kumvumilia tu atazoea maisha nje ya ikulu maana yamekuja ghafla. Hakutegemea.
Umechemsha sana mkuu.
Msigwa alijua na alishajiandaa kisaikolojia muda tu baada ya marekebisho kuanza kufanywa na bimkubwa.
 
Yaani ukifungua Ukurusa wa Haniu unaikuta Habari hiyo hiyo ambayo Msigwa nae ameiweka kitu ambacho nadhani kungekuwa na Utaratibu mzuri tu wa Kiutendaji basi Jukumu hilo angekuwa analifanya Mtu Mmoja pekee.

Nadhani (Ushauri wangu Binafsi) hiki Cheo cha Ukurugenzi wa Ikulu kingeongezewa pia na Jukumu la kuwa Msemaji wa Serikali na hiyo Idara ya MAELEZO nayo ingekuwa chini yake pia.

Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE natafuta 'Logic behind' Kuzitenganisha hizi Nafasi za Jaffar Haniu wa Ikulu na Gerson Msigwa wa MAELEZO sijaipata ila ninachokiona tu sasa ni kama vile Gerson Msigwa ' wants to outshine ' Jaffar Haniu wa Ikulu ili Yeye ( Msigwa ) aendelee kuwa ' Masikioni ' mwa Watanzania wakati Kiuhalisia muda wake wa Kusikika ulihitimika rasmi tarehe 17 Machi, 2021.

Na Wewe ' Brother ' Jaffar Haniu wa Ikulu anza ' Kuchangamka ' sasa kwani tunaokujua tokea ukiwa TBC na AMG tunajua ' you're very far Professionally ' kuliko huyo Gerson Msigwa anayejitutumua na kuwa na ' Kiherehere ' mno katika Awamu hii ya Mama ( Rais ) kuliko ile ya aliyekuwa akimpenda na akimbeba ya Mwendazake (Hayati) wa Chato.

Na msipoangalia 'mtarogana' ile mbaya.
Si lugha nzuri kumuita mtu mwendazake kumbuka kama ni Baba yako cjui utajiskiaje kusema marehemu au hayati au lugha nyingine sahihi ni bora zaid hata kama humpendi ushauri Tu...
 
Ofisi za MMS hivi zinakuwa wapi,wizarani au zinajitegemea
 
Kuna mahala nilisema hizo ni kazi mbili zinazoingiliana na ambazo zingeweza kufanywa na mtu au ofisi moja!

Huwezi kutenganisha ikulu na serikali. Huwezi kumtenganisha Rais na serikali. Na huwezi kuitenganisha serikali na Rais wala serikali na ikulu.
 
Back
Top Bottom