Jah Prayzah ft Diamond collabo kali zaidi ya mwaka huu

Diamond wimbo akishilikishwa anafanya kama wakee!!! Maana sio kwa kujitumaaa kuleeeee Daaaaa ameenda sambamba na mwenye Wimbo shikamoo Diamond

Kuna wengine wakishirikiwa kama hawajalipwa hivi au wanakua kama wamelazimishwaa khaaa
 
Duh... Jamaa kamezwaaa. Diamond nyokoo kkulaleki...
 

Daaah hii ngoma ni hatarii bonge la pu×××
[emoji445][emoji445][emoji445]Sikuhiz kidigitali unapata ambacho unakionaa
Yanini hosipital wakat kwako napooonaaa" [emoji445][emoji445][emoji445]
Chibu jini
Mapenzi siyo suluari ikichanwa itashonwa.....wow nyimbo nzuri na video iko poa sana......natumai itafika mbali sana .
 
Asante sana mkuu kwa hii tafsiri,hii ngoma huyo jamaa akiipa promo vizuri itafanya poa sana uko kwao.

Kaka unajua huyu jamaa kabla ya kutoa hii nyimbo alishatoa wimbo wake mmoja unaitwa Jerusalema, sasa ukiangalia hiyo video ya huo wimbo ni kama alikopi kitorondo ile ya Diamond, Wazimbabwe walimpigia kelele sana kuwa kakopi huo wimbo kutoka kwa Diamond na hapo alishawahi pia kuwa na skendal ya kukopi wimbo mmoja wa Kinigeria,
Yeye alijitetea kuwa hajawahi ona video ya Diamond kwa hiyo ilitokea kama coincidence tu, nadhani jamaa alikuwa anamkubali sana Diamond, na katika miziki yake yote hajawahi kutoa mziki mkali na video kali kama hii, jamaa kajituma mno TAFUTENI VIDEOMYA JAMAA JERUSALEMA

Tangu jana huo wimbo Harare na Bulawayo umekuwa kama wimbo wa Taifa

Nitajaribu kuleta full translation ya huo wimbo

Cc: Activity Ratio , Ubavu , Ibrah0404 , _Iramba , pumzihaiuzwi , The bold , kijana wa leo , samsun , eddy ,
 
Nimeona DIAMOND kaweka video yao wakati inazinduliwa jinsi kulivyojaa nyomi ya watu.
 
Mimi mwenyewe nimemuelewa sana alipo gonga lugha ya wenyewe, japo sijui ina maana gani, ingependeza kama ingekuwa na subtitle.
 
Ila huyu producer LAIZER ajaribu kuwa mbunifu zaidi ya hapa, awe kama thud tomass, asiwe na aina moja ya beat
 
Kinachoniacha hoi kwenye hizi nyimbo za waafrika ni ngozi nyeupe, siwachukii wazungu wala sina shida nao, lakini hawa wasanii wa Afrika wanafananisha mafanikio na kua mweupe, yaani nyimbo zao wamejaa wazungu tupu, huyu angalau kagusia weusi kidogo, platnumz, harmonize, sasa hivi rich mavoko naye, wamepanda chati sasa ni wanawake wa kizungu tu kwenye shooting zao, wakiwa wanaimba nyimbo za shida kama harmonize matatizo ndio wanampachika mweusi pale.

Tusitegemee mabinti wetu kuacha kujichubua au kukaa na presha kila siku wakijihisi kua ni wabaya, na mtu asije na excuse kua afrika kuna mixed races, ndio ila wazungu ni chini ya 5% ya population nzima. Hii kitu wengine tunakichukulia simple ila unconsciously kina affect wadada hawa, wazungu hawana muda na kuonyesha wadada weusi, nilitegemea waafrika tutakua mstari wa mbele kusupport wa kwetu, angalia wanigeria walianza sasa na watanzania pia, hadi mlalamikiwe ndio mnaweka ngozi nyeusi mara moja moja ka mmelazimishwa. Watu wanasahau sana walipotoka, muziki wa kiafrika unauza sasa hivi baada ya sisi kukubali culture yetu na kuitangaza, tunavotupia wazungu tukidhani tutauza na nje ni upumbavu, tukubali na rangi yetu kua ni weusi ili tuendelee kua unique. Wachina wanasupport vyao, wahindi, waarabu, ila waafrika tu ndio tunajipendekeza.
 
imetosha, umemaliza
 
jamani huo mziki wa jelusalema
ni mdogo mdogo copy & paste
afu mwishoni idea ya michael jckson ya remember the time
 
Huyo video vixen sjui wamemtoa wapi sura kama yangu.bora hata wangemchukua giggy au masogange
 
Huyo ndio chibu anakitumia kipaji chake kujijenga kimuziki.....pini kali sana hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…