chikurukutu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 224
- 88
Ni kipaji halafu nyota inafuata'Hongera Nasib'....hua najiuliza kijana ni nyota inang'aa au ni Kipaji
Musuli but bubble gum musicKi ukweli hapa CHIBU umelinogesha hili sng balaaaaaaaa....Respect man!
vip umemuona ana nyege sana ?Ndio umetoka jela nini?!
Haya Tuma salamAngalia views mpaka sasa,
LAZIMA UNYWE SUMU
'Kwa kweli.Ni kipaji halafu nyota inafuata
HII NI HABARI MBAYA KWA KIBAMIA.
Ki ukweli hapa CHIBU umelinogesha hili sng balaaaaaaaa....Respect man!
Hahahahaaaaaa wewe jamaa unalaanavip umemuona ana nyege sana ?
Amepata msamaha wa Lyatonga Mrema.Ndio umetoka jela nini?!
Mean while Alikiba anaendelea kula Kolabo za wahapahapa alafu anataka ku compete na DIAMOND!? Qwi qwi qwi...Ki ukweli hapa CHIBU umelinogesha hili sng balaaaaaaaa....Respect man!
Kweli umenena.......Jamaa anajitahidi sana, ila sasa aachane kujibizanajibizana na watu hovyo hovyo. Yeye aendelee kuzungumza kupitia kazi zake. Ngoma imetulia.