Jahazi imezama ikielekea Songo songo kutokea Mafia

Jahazi imezama ikielekea Songo songo kutokea Mafia

hio iliondokea bandari ya jibondo kabla ya kuondoka kuna jamaa walimpakia alikuwa mgonjwa walikuwa wanampeleka kwao kilwa kabla jahazi kuondoka yule mgonjwa alifariki akiwa ndani ya jahazi kosa walofanya wakashusha maiti maiti ikachukuliwa ikazikwa siku pili wao baada kushusha maiti waliondoka usiku ule ule usiulize kitutia na nyuni
Kitutia hapo kna mkondo mmbaya sana
Kwa mabaharia watakuwa washaelewa

Aise poleni sana

Ova
 
Poleni sana. Pia chukueni tahadhari kwa kubeba life jackets na kuweka maboya katika majahazi.
 
Wewe utakuwa mmoja wao, mnaambiwa wekeni maboya kwenye majahazi yenu hamtaki, eti mnajua kuogelea!
Siwezi kukutukana sipendi mkeo akalia.
mama yako ndo alisema tuweke maboya ili ikizama zibaki boya zikielea
 
na mwengine ashapatikana bado wawili
 
Back
Top Bottom