Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unasikiliza jahazi la clouds fm sasa hivi utagundua hii redio badala ya kulaani hicho kitendo, watangazaji wameamua kuchekesha wasikilizaji..endelea kusikiliza jahazi.
You people can't stay away from Clouds radio. Why?
Kama unasikiliza jahazi la clouds fm sasa hivi utagundua hii redio badala ya kulaani hicho kitendo, watangazaji wameamua kuchekesha wasikilizaji..endelea kusikiliza jahazi.
Kama unasikiliza jahazi la clouds fm sasa hivi utagundua hii redio badala ya kulaani hicho kitendo, watangazaji wameamua kuchekesha wasikilizaji..endelea kusikiliza jahazi.
wewe unaepoteza muda wako kusikiliza clouds fm inabidi tukupime akili...
mbona Ruge alivyobananishwa na Vinega hao watangazaji hawakufanya utani katika vipindi vyao??
wote wanalea mimba muda huu, na zinasemekana ni za baba mmoja RugeTHT imeishia wapi??
we are not serious in anything, everything! ishu ya kigamboni its not a joke kama clouds wanavyotaka iwe
but u people why r u still tuning that station?
Kibonde bado anawasakama wanavyuo eti? Amesahau alichofanyiwa na udsm kipind kile?